ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,227
- 50,958
Hongera Kwake Aziz piaNaona waziri wa mashauri na mambo ya kigeni wa Tanzania ameanza kwa kufanya kazi nzuri, hongera kwake!
Wameshindwa kulitoa Mtwara mpk Dar tu hapoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya Kitaifa ya siku tatu ya Nchini Zambia kwa mwaliko wa Rais wa nchi hio Hakainde Hichelema.
Akiwa Zambia, Rais Samia na Rais wa Zambia Mh. Hakainde wameshuhudia kusainiwa kwa Mikataba nane ya Ushirikiano wa Nchi hizo mbili.
Mikataba hiyo ni pamoja na
i). Hati ya Makubliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia kuhusu Mradi wa Usafirishaji Gesi Asilia kutoka Tanzania Kwenda Zambia.
ii). Hati ya Makubaliano kati ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
ili. Hati ya Makubaliano kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
iv. Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.
v. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
vi. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wakufunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
Vii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Afisa-Cadet na
viii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu ushirikiano katika Huduma za Tiba.
Wasafi TV
====
Katika mambo 8 waliyojubalinana ni pamoja na ujenzi wa Bomba La Gas kutoka Tanzania Hadi Zambia.
My Take
Tumesaini makubaliano ya hivi na Kenya, Uganda na Zambia.
Mbona hatuoni progress za utekelezwaji?
Mi ndo maana nasema huyu Rais NI mwanamke lakin anajiweza Sana kila siku nazidi kumpendaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya Kitaifa ya siku tatu ya Nchini Zambia kwa mwaliko wa Rais wa nchi hio Hakainde Hichelema.
Akiwa Zambia, Rais Samia na Rais wa Zambia Mh. Hakainde wameshuhudia kusainiwa kwa Mikataba nane ya Ushirikiano wa Nchi hizo mbili.
Mikataba hiyo ni pamoja na
i). Hati ya Makubliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia kuhusu Mradi wa Usafirishaji Gesi Asilia kutoka Tanzania Kwenda Zambia.
ii). Hati ya Makubaliano kati ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
ili. Hati ya Makubaliano kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
iv. Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.
v. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
vi. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wakufunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
Vii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Afisa-Cadet na
viii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu ushirikiano katika Huduma za Tiba.
Wasafi TV
====
Katika mambo 8 waliyojubalinana ni pamoja na ujenzi wa Bomba La Gas kutoka Tanzania Hadi Zambia.
My Take
Tumesaini makubaliano ya hivi na Kenya, Uganda na Zambia.
Mbona hatuoni progress za utekelezwaji?
ποΈποΈMh. Hakainde amfundishe maza matumizi bora ya fedha za umma
Kwani linalotumika Sasa limetoka wapiWameshindwa kulitoa Mtwara mpk Dar tu hapo
Muulize mumeoKwani linalotumika Sasa limetoka wapi
Ule mradi wa bomba la gas Kwenda Mombasa ulifia wapi?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya Kitaifa ya siku tatu ya Nchini Zambia kwa mwaliko wa Rais wa nchi hio Hakainde Hichelema.
Akiwa Zambia, Rais Samia na Rais wa Zambia Mh. Hakainde wameshuhudia kusainiwa kwa Mikataba nane ya Ushirikiano wa Nchi hizo mbili.
Mikataba hiyo ni pamoja na
i). Hati ya Makubliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia kuhusu Mradi wa Usafirishaji Gesi Asilia kutoka Tanzania Kwenda Zambia.
ii). Hati ya Makubaliano kati ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
ili. Hati ya Makubaliano kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
iv. Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.
v. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
vi. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wakufunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
Vii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Afisa-Cadet na
viii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu ushirikiano katika Huduma za Tiba.
Wasafi TV
====
Katika mambo 8 waliyojubalinana ni pamoja na ujenzi wa Bomba La Gas kutoka Tanzania Hadi Zambia.
My Take
Tumesaini makubaliano ya hivi na Kenya, Uganda na Zambia.
Mbona hatuoni progress za utekelezwaji?
Nimeuliza kwenye conclusion yangu anaejua progress awekeUle mradi wa bomba la gas Kwenda Mombasa ulifia wapi?
Huyu bibi kila saa mikataba isiyo na tija!
Ujenzi wa Bomba la Gesi Kati ya Dar na Mombasa kuanza muda wowote, kugharimu Shilingi Trilion 2.7
Hiyo ndio habari motomoto ya kutoka Kenya. My Take Wajamaa wa Tanganyika mnasemaje? Au Mali yenu inauzwa? =========== Kenya finalizes the sale of defunct KPRL, clearing the path for a transformative gas pipeline linking Dar es Salaam and Mombasa. Feasibility assessment completed, paving the...www.jamiiforums.com
Acha ufala hiyo ni gesi ipi maana hatuna gesi mpaka 2057Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemaliza ziara yake ya Kitaifa ya siku tatu ya Nchini Zambia kwa mwaliko wa Rais wa nchi hio Hakainde Hichelema.
Akiwa Zambia, Rais Samia na Rais wa Zambia Mh. Hakainde wameshuhudia kusainiwa kwa Mikataba nane ya Ushirikiano wa Nchi hizo mbili.
Mikataba hiyo ni pamoja na
i). Hati ya Makubliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia kuhusu Mradi wa Usafirishaji Gesi Asilia kutoka Tanzania Kwenda Zambia.
ii). Hati ya Makubaliano kati ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
ili. Hati ya Makubaliano kati ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania na Wakala wa Maendeleo Zambia.
iv. Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia katika Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.
v. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
vi. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wakufunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu.
Vii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu programu ya kubadilishana Wanafunzi wa Kozi ya Afisa-Cadet na
viii. Mkataba wa Utekelezaji kati ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jeshi la Ulinzi la Zambia kuhusu ushirikiano katika Huduma za Tiba.
Wasafi TV
====
Katika mambo 8 waliyojubalinana ni pamoja na ujenzi wa Bomba La Gas kutoka Tanzania Hadi Zambia.
My Take
Tumesaini makubaliano ya hivi na Kenya, Uganda na Zambia.
Mbona hatuoni progress za utekelezwaji?
ποΈποΈZaidi ya KM 2000 za barabara kuanza kujengwa kwa mtindo wa EPC +F. Serikali yasema hazitalipiwa Tozo
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia apewe maua yake. Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami kwenye mikoa 13 kwa pamoja zenye jumla ya urefu wa KM 2035 kwa mtindo wa EPC+ F (Engineering...www.jamiiforums.com
Miradi hewa !!
ποΈποΈποΈποΈποΈππAcha ufala hiyo ni gesi ipi maana hatuna gesi mpaka 2057
π€£Lifundisheni Hilo li peno hosegawa ku post attachments,linatuumiza macho