Ndugu yangu, hii miradi mikubwa inaenda kwa stage. Unajenga kwanza mfumo mzima wa kiwanda, mitambo na miindombinu yote.Utaanzaje kuzalisha bila kuwa na pesa ya kulipa mishahara?
Au utawakopa wafanya kazi?
Waache mbwembwe.
Vya Kanzu wanunuzi watatoka wapi?viwanda 100
Unajua mkuu huyo aliweka figure za viwanda 100 hakuleta mchanganuo wa viwanda vyenyewe ni vya aina gani na kiasi gani cha fedha za kujenga kiwanda kimmoja kimmoja.Watanzania wamezoezwa figure za kifisadi, hawaamini kiwanda kujengwa kwa gharama nafuu!!
Hachen upuuzi wenu, au tafuta majukwaaa ya kupeleka polojo zenu za kijinga.Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Kakaa! Felix, unaniangusha, punguza jazba. Kwani Tanzania na Misri uhusiano umeanza juzi alivyoenda Mhe. Rais Samia? Misri hawana wawekezaji hapa? Mradi wa JNHP unajengwa na Arab contractors ya Misri. Kwa hiyo issue ya siku tatu inakufa, kwa sababu Wamisri wapo hapa nchini na labda hiyo kampuni ilifuatilia hiyo fursa kabla.Hachen upuuzi wenu, au tafuta majukwaaa ya kupeleka polojo zenu za kijinga.
Samia kaenda misiri na kukaa siku tatu, ndani ya siku 3, huyo muwekezaj tayar kafanya research ya kutosha kuja kujenga viwanda na kuwekeza 460??? Kweli huyo mkurupukaji!
Siku tatu kaweka bajet ya kuwekeza bongo! None sens
Hapo Sasa ndo umenena, Kama ni hivyo mwekezaji anakuja kwa mipango iliyoratibiwa zaman siyo safar ya Samia.Kakaa! Felix, unaniangusha, punguza jazba. Kwani Tanzania na Misri uhusiano umeanza juzi alivyoenda Mhe. Rais Samia? Misri hawana wawekezaji hapa? Mradi wa JNHP unajengwa na Arab contractors ya Misri. Kwa hiyo issue ya siku tatu inakufa, kwa sababu Wamisri wapo hapa nchini na labda hiyo kampuni ilifuatilia hiyo fursa kabla.
Mchagga gani mshamba hiviKampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
CCM akili zao wanazijua wenyewe, Mchagga wa wapi mahamba hiviKampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Acha zako bana, wewe hujui hata ku design mradi wa kuchimba choo.Ndugu yangu, hii miradi mikubwa inaenda kwa stage. Unajenga kwanza mfumo mzima wa kiwanda, mitambo na miindombinu yote.
Hatua ya pili; ni production, ambayo hapo sasa inagusa administrative cost. Vibarua, waajiriwa, management team nk. Binafsi, naamini sh. bilioni 460 kama zilivyoletwa hapa zinaweza kujenga viwanda 100. Tuombe mradi uje ili ndugu zako wewe, yule na mimi waajiriwe bila kujali itikadi za vyama! Na serikali ipate kodi. Najua wewe Chadema mimi CCM, ila maendeleo yetu hayapaswi kuwa based on vyama.
Hoja yako naielewa kaka. Ndiyo nimeijibu na bado mkazo ktk ziara hii ya Rais Samia ndiyo hiyo neema imetimia. Kwamba fursa hiiHapo Sasa ndo umenena, Kama ni hivyo mwekezaji anakuja kwa mipango iliyoratibiwa zaman siyo safar ya Samia.
Umepigwa nini? Kuna Watanzania wa ajabu sana. Fedha bilioni 460 inaletwa nchini unakuja hapa unasema umepigwa! Umepigwa nini...?Acha zako bana, wewe hujui hata ku design mradi wa kuchimba choo.
Ujue tu kwamba tumepigwa.