Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
MFALME WA MOROCCO MOHAMMED WA VI KUFANYA ZIARA NCHINI TAREHE 19 HADI 23 TANZANIA OFFICIAL BLOG: MFALME WA MOROCCO MOHAMMED WA VI KUFANYA ZIARA NCHINI 19-23 OKTOBA, 2016.
Naona nyumbu mnaumia kweli wakuu wa nchi wanavyopishana Tanzania..Inabidi tupige marufuku na hizi safari za wageni kutoka nje maana na zenyewe ni gharama kubwa wakati tunabana matumizi
Mkuu samahani, mimi sipo kwenye upande wowote wa kisiasa najaribu kuwaza tu kwa mfano mdogo, kama umeamua kubana matumizi nyumbani kwa kuzuia mitoko "outing" halafu ukaanza kupata ugeni kila leo tena wakifalme unaweza ukajikuta unaiingia gharamaNaona nyumbu mnaumia kweli wakuu wa nchi wanavyopishana Tanzania..
Sawasawa mkuu lakini hata siku moja mgeni hafukuzwi lakini pia mgeni mzuri ni yule anayekuja kwa kutoa taarifaMkuu samahani, mimi sipo kwenye upande wowote wa kisiasa najaribu kuwaza tu kwa mfano mdogo, kama umeamua kubana matumizi nyumbani kwa kuzuia mitoko "outing" halafu ukaanza kupata ugeni kila leo tena wakifalme unaweza ukajikuta unaiingia gharama
Ngoja tuone mfalme atatuletea nini ila kama safari haina tija basi bora abaki huko huko, though Dr. Magufuli's regime ipo very strategic kwenye hizi international relations let us wait and see...nilitoa tu kama angalIzo kwa upande mwingine wa shillingi
Ngoja tuone..sijawahi sikia mfalme wa morroco kutembelea nchi yoyote licha ya kiafrika kusini ya jangwa la sahara. sijui anafuata nini. morroco kwanza ni wakoloni wa nchi ya sahara ya magharabi.MFALME WA MOROCCO MOHAMMED WA VI KUFANYA ZIARA NCHINI TAREHE 19 HADI 23 TANZANIA OFFICIAL BLOG: MFALME WA MOROCCO MOHAMMED WA VI KUFANYA ZIARA NCHINI 19-23 OKTOBA, 2016.