alichoifanya secta ya elimu ya juu hakitasahuliwa, wakati huo alitoa mikopo na hela za kujikimu kwa wanafunzi wa zanzibar huku akiacha wa bara wnaandamana na kuhaha ovyo[/QUOTE]
Hapo kwenye red, unajua kama una nia mbaya utabaki na nia hiyo wewe tu, kama angekuw ambaguzi mbona ndiye ana rejkodi ya kuw awqaziri kiongozi wa kwanza kurejea kufundisha chuo kikuu na akaamua kufundisha Dodoma? Kwani Zanzibar hakuna vyuo? Tena, ziara yake Mbeya haikuwa ya mikutano ya hadhara mbona hilo hamtaki kulifahamu, aliyeweka picha ana maana yake lakini Dr Bilal alifanya kazi aliyotakiwa kuifanya Mbeya kwa mafanikio na kumaliza na kurejea kusimamia shughuli nyingine za serikali ikulu kama ambavyo anafanya hata sasa
ndo huyu mzee anaetembea na wakeze wawili?
Hivi, nikumbushe, Dr.Bilal ni nani vile?
ndo huyu bwana ..yaani ana midude miwili anaenda nayo kila mahali sasa sijui analalaje nao..wazeee hawa bwana
Ujua kuwa kichaa kunaanza taratibu, kama mtu alifatilia taarifa na alikuwapo Mbeya kabla Makamu hajaenda huko safari yake ilitangazwa rasmi nini majukumu yake. Hakuwa na mikutano ya hadhara wala ziara hiyo haikuwa ya maandamano kama CDM mlivyozoea. Ni wakati sasa kabla mtu hujaamka na hoja finyu utafakari kabla ya kuandika maana hapa Pinda kaenda Kagera mmeanza oooh anaenda kufuta cheche za CDM, CDM ni chama cha upinzani na hao ni viongozi kazi yao ni kutazama maendeleo na sio kupiga maneno. MY TAKE: Nawashukuru wananchi wa Mbeya kubakia wakifanya kazi zao za maendeleo maana maendleo hayaji kwa maandamano ama mikutano ya hadhara bali kufanya kazi kwa saa nyingi na kujituma.
Ni raia wa Zanzibar aliyepewa nafasi ili kurekebisha mambo CCM.......................Hivi, nikumbushe, Dr.Bilal ni nani vile?
Umenena Kigogo..........................huyu mzee mi namuoneaga huruma tu sijui kwa nini ...yaani mara mia shein ....yani yuko kibwege ***** tu
kama ccm wanacmamia hilo mbona maendeleo hatuna?Ujua kuwa kichaa kunaanza taratibu, kama mtu alifatilia taarifa na alikuwapo Mbeya kabla Makamu hajaenda huko safari yake ilitangazwa rasmi nini majukumu yake. Hakuwa na mikutano ya hadhara wala ziara hiyo haikuwa ya maandamano kama CDM mlivyozoea. Ni wakati sasa kabla mtu hujaamka na hoja finyu utafakari kabla ya kuandika maana hapa Pinda kaenda Kagera mmeanza oooh anaenda kufuta cheche za CDM, CDM ni chama cha upinzani na hao ni viongozi kazi yao ni kutazama maendeleo na sio kupiga maneno. MY TAKE: Nawashukuru wananchi wa Mbeya kubakia wakifanya kazi zao za maendeleo maana maendleo hayaji kwa maandamano ama mikutano ya hadhara bali kufanya kazi kwa saa nyingi na kujituma.