Zero launcher haikubali kuwa default

Naomba msaada wenu cmu yng tecno H6 haikubali kukaa default zero launcher!!

hiyo simu ina KITKAT zero launcher insupport KITKAT? jaribu kuitoa then zima zimu na uwashe halafu Install tena. press home button ikikuuliza chagua hiyo zero then weka Always
 
Nina tatizo kama hilo ila mimi ni kwa tecno boom j7. Haikubali nova launcher kuwa default. Msaada plz
 
Chief Mkwawa...... Hii kitu imegoma nimedownload, extract and install lakin bado vilevile. Nimeingia kwenye google kujaribu kuona wengine wanafanyaje nikakutana na maelezo kwa tecno boom j7 ina launcher ambayo huwezi kuweka third part launcher ikawa default zaidi ya ile tecno launcher.
Sijui Chief chief kama unambinu nyingine
NB: cja root cm yangu
 
Chief Mkwawa...... Hii kitu imegoma nimedownload, extract and install lakin bado vilevile. Nimeingia kwenye google kujaribu kuona wengine wanafanyaje nikakutana na maelezo kwa tecno boom j7 ina launcher ambayo huwezi kuweka third part launcher ikawa default zaidi ya ile tecno launcher.
Sijui Chief chief kama unambinu nyingine
NB: cja root cm yangu

Siku utakaporoot simu yako utajaribu kufanya hivi.
277.jpg


-Download Lucky Patcher
Alafu tumia Luckypatcher kumove hiyo laucher yako kwenye system apps.
Itafute tu kwenye list alafu click > tools> Move to system apps.
Restart simu yako tena.

- Download bloat freezer
Itafute laucher ya simu yako ambayo ndiyo inajifanya default then ifreeze
Rudi kwaku click home itakupa option ya Zero laucher mana kutakuwa hakuna laucher nyingine zaidi ya zero laucher, ile yasimu tumeshaizima.

Done.

I hope utafanikiwa, Hivi ndivyo nilivyofikiri i can't guarantee.
snipa
 
Last edited by a moderator:
Nimeshakutana simu za kitkat zimenisumbua sana kuweka launcher.
Umesomeka snipa
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma kabla sijafanya nakili kuwa hii njia lazima ifanye kazi big up man snipa
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma kabla sijafanya nakili kuwa hii njia lazima ifanye kazi big up man snipa


All the best, lakini usije uninstall hiyo stock launcher, we utaifreeze tu itaacha kufanya kazi.
 
Last edited by a moderator:
Nimefanya kama ulivyoelekeza kiongozi, nimefikia lengo langu kwasasa Nova launcher ni default launcher. Asante sana.
 
Pia naomba msaada kwa lg p880 nashindwa kupata transparent stutusbar ktk home screen, inakubali ktk locksreen. Nimetumia xposed installer framework na app kama gravity box for jellybean, xblast. Zote zinakubali kuweka transparency kwenye locksreen tu. No per app or home screen. MSAADA PLEASE
 
Wadau nimeporwa s3 na nilikuwa sijaifanyia chochote kile kama ku root nimekaa nayo masaa tu jamaa wamenipora, msaada wa jinsi ya kuipata tafadhal, thanks in advance
 
Pia naomba msaada kwa lg p880 nashindwa kupata transparent stutusbar ktk home screen, inakubali ktk locksreen. Nimetumia xposed installer framework na app kama gravity box for jellybean, xblast. Zote zinakubali kuweka transparency kwenye locksreen tu. No per app or home screen. MSAADA PLEASE
Jaribu kutumia hii module Tinted Translucent Status Bar
 
Kwani hiyo kitu kazi yake nini?
Nimeiuninstall kwenye simu yangu
 
Simu yangu inasumbua baada yakuifanyia factory reset. Apps nyingi zinagoma kufanya kazi baada yakuzidownload na muda mwingine Google play store inastop ghafla.

Simu yangu ni ITEL INOTE CHIEF MKWAWA+ wadau wengine
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom