Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Nimepokea salamu na pole nyingi sana PM yangu siku ya jana zinakinitakia hali na wengine kushtuka juu ya taarifa niliyozushiwa humu sijui na member gani kwamba Zero IQ, yaani mimi Zero C.E.O wa kampuni na kiwanda cha uchakataji wa viazi kuwa chipsi ya kwamba nimeaga Dunia(kufariki)
Nataka nitoe ufafanuzi ni kwamba hizi taarifa ni za uongo, mimi zero niko hai na ni mzima wa afya wala sijaumwa homa yoyote kuanzia mwaka huu uanze mpaka sasa,
Ukimya wangu hapa kati ilikuwa ni kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kazi pale kiwandani ila kwa sasa nipo likizo na nitakuwa hapa jukwaani kupeana taarifa, habari, mipasho na Nk.
Mwisho nawashukuru moderator kwa kuufuta kabisa huo uzi ulionizushia kifo,
Asante
Niko busy nakula mbususu ya kimakonde.
Cc Zero iq
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nataka nitoe ufafanuzi ni kwamba hizi taarifa ni za uongo, mimi zero niko hai na ni mzima wa afya wala sijaumwa homa yoyote kuanzia mwaka huu uanze mpaka sasa,
Ukimya wangu hapa kati ilikuwa ni kwa sababu ya kubanwa na majukumu ya kazi pale kiwandani ila kwa sasa nipo likizo na nitakuwa hapa jukwaani kupeana taarifa, habari, mipasho na Nk.
Mwisho nawashukuru moderator kwa kuufuta kabisa huo uzi ulionizushia kifo,
Asante
Niko busy nakula mbususu ya kimakonde.
Cc Zero iq
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app