Niliwaonya juu ya namna wanayotumia katika kumuandama huyu jamaa.
Naona bado wanaendelea tu, impact yake nadhani wako tayari kukabiliana nayo.
Walinywea baada ya kujua ni mtoto wa 'mwenzao' leo wameamua kumbana na kumrudisha Tz?
Ngoja tusikie ni mashtaka gani atafunguliwa. Family yake itakubali?