Z'bar vs burundi

Z'bar vs burundi

Aggrey86

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
853
Reaction score
155
Kwa wale mnaofuatilia mechi kati ya Zanzibar na Burundi naombeni mnijuze jamani nini kinaendelea hadi sasa?
 
sijui kwanini watanganyika wamekuwa wabaguzi hivi..sasa kwanini hawatupi maupdate ya mechi ya uamsho.. vs Burundi..
 
Kwa wale mnaofuatilia mechi kati ya Zanzibar na Burundi naombeni mnijuze jamani nini kinaendelea hadi sasa?
Dk 90 zimeisha wakiwa 0-0
wameenda kwenye matuta, na tayari Burundi wameisha kosa penati 1
 
Agrey Morisi kapiga vizuri penati yake aisee; kastua kidogo, Kipa wa Burundi kaenda Marikiti.
 
Burundi OUT.
Zanzibar wameingia Nusu fainali watakutana na KILI STAZ
 
Zanzibar imeshinda kwa penat 6 kwa 5 za burundi.

Tukiacha uswahili na kamati za ufundi soka tunaliweza basi tu. Hongera Stars na Zanzibar Heroes tunatarajia kikombe nyumbani.
 
Back
Top Bottom