BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
..kutwa kujibana bana kwa tanganyika halafu mnataka kupumua mtapumuaje? Hebu sogeeni pembeni.......
Juzi darajani watu wengi walikuwa wanasema shida za Zanzibar zimesababishwa na Wayahudi
Who am I to question your way of thinking? Labda wewe ndio watu watakupuuza kwa sababu madai yako ni kama yale ya wengine ambayo yamejadiliwa bungeni yakaonekana pumba. Hayana hata ushahidi wa magazeti!
Jusa, sheikh Farid, sheikh Jabir ndio damu ya kizanzibari halisi....? Nani mzanzibar....!!loving sisim = endless complans!!!
Ni kweli Mungi kila mtu atafurahi. Tuipe tu zanzibar uhuru wake ila tatizo wameshabobea sana huku bara, na wabara wako kule. Tutafanyaje?
..kutwa kujibana bana kwa tanganyika halafu mnataka kupumua mtapumuaje? Hebu sogeeni pembeni.......
Wacha waondoke.......................... manake tunahitaji maghorofa yetu bana..................... ni hawa hawa waloleta mchezo kugandana kwenye tiGO......................... ona sasa yaliyotokea Temeke