Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 486
chanzo cha matatizo zanzibar ni nyie wazanzibari wenyewe...nyie watu wa ajabu sana...mnaonaga wenye makosa zenji ni serikali na wakristo...nyie mko safi kabisa hamna kosa....mother ********, toeni upuuzi wenu hapa
hivi huyu anamjibu yule mwenzake???? wa zenji........ anzieni ndani, huku nje mbona hamna tabu? Mnajua nini mnataka? mpo pamoja? UAMSHO ni sehemu yenu?. Ukweli hamna zanzibar baada ya muungano, kuna Pemba na Ungunja!! Hivi mnajua nani mzenji na nani nusu-mzenji na nani siyo mzenji?, hapa bara wapemba wana majumba lukuki, hao naao?
mwisho sielewi objectivive ya ujembe huu!! wasted my time!!
Wakatabahu
Watu waliokosa malezi wanamatatizo sana. Matusi yote ya nini? Mbwa, taahira, kibaraka n.k yana haja gani? Hivi wewe kuchangia ndio ina maana una akili kuliko wote au mawazo yako ni bora kuliko ya wengine?
1) Mwandishi anaposema kwamba vikosi vya ulinzi viko vingi ZNZ hana maana kwamba anapinga ZNZ kuwa na ulinzi wa kutosha. Maana yake ni kwamba hawa wote wanapelekwa ZNZ kwnda kudhulumu watu wanapopata vijisabu. Mfano nyakati za uchaguzi na visingizio vingine kama Uamsho n.k. Kwani ni nani asiyejua kuwa nyakati za uchaguzi vikosi vya ulinzi kwa kiasi kikubwa vinashirki kufanya dhulma na uonevu kwa wanachi wa ZNZ?
2) Wewe mwenyewe unaonekana unakereka kutoka na udini ulio nao. Kwa nini unataja waarabu badala ya mayahudi, wamarekani au watu wengine?
3) Ulitakiwa ujadili hoja alizotowa halafu uache wasomaji wakuone una akili sio kujifanya mchezaji na wakati huo huo referee pia. Acha hizo!
kuna unguja na pemba nje ya muungao? wewe unaijua tarehe unguja ilipoungana na pemba? tumbatu na unguja? hiyo ni asili na asili na natural. lakini tarehe ya kuungana kwa zanzibar na tanganyika kwa nini inajulikana? more precisely ni unyang'anyi wa nchi uliofanya na kambarage.
Shida yenu ni kutojua nini mnataka na ndio maana mtaendelea kufanana na mbwa. Ni mbwa ndio huambiwa kamata naye akamng'ata mtu bila kujiuliza kama ipo sababu au kwa kuwa tu bwana kasema.
Hapa unaizungumzia UAMSHO kama 'kisingizio', hii ina maana yale yanayotoea mitaani wako hayakuwa na uzito kwa hiyo ni isingizio tu.
Nashangazwa na udini wenu, hivi Zanzibar hii mliyonayo ina haja ya vikundi vya kutetea Uislam? Unatetewa dhidi ya nini? Hilo sikuona ukilijibu. Au ilikuwa kwamba michoma makanisa ni haki yenu kwa hiyo yeyote anayewakataza anaivunja haki hiyo.
Wayahudi na Wamarekani na nyinyi watumwa wa Mwarabu wapi na wapi mp niwahusishe? Hata wewe unajua kuwa unaongea unafiki. Lakini ukweli huonekana kwa macho. Juzi tumeona Obama ambaye ni Mjaluo na ni just second generation ya Muafrika anakuwa Rais wa Marekani, jambo ambalo haliwezi kupokelewa Zanzibar. Tayari mnawawekea question mark mnaowadhania si wa visiwani kudhani wapo kwenye ikulu yenu, mnafanana na Marekani?
Sijawa refa na ndio maana umenikosoa. Ningekuwa nimeamua usingeona button ya ku-reply.
Acheni kunung'unika, fanyeni kazi. Serikali ina CUF ndani yake na mnalo Baraza la Wawakilishi, haya maoni mliyonayo kama ndio ya wengi, basi yapitishieni Barazani na sio UAMSHO.
Dola kuu mpya ya kiislamu itakayotoka lamu kenya kwa kupitia mombasa, zanzibar, daressalaam hadi mtwara yaani pwani yote ya east africa, ndio nia na madhumuni ya kazi waliyopewa kina ponda, farid, seifsharrif, sheikh rogo na wengine wengi, majeshi ya alshabaab na janjaweed yako tayari kusaidia, fedha hutoka iran na nyingine oman. Wapuuzeni tuone kama patakalika
Nakwambiaje Mkuu, ubongo wa Kakke akiwekewa mbwa wangu (Fox) nitawapa tu Wahehe wamtafune kwa maana atakuwa ameshakosa maana. Eti mtu anasema nchi yake kuwa na vikosi vya ulinzi ni dhulma, sasa unaweza kupata picha ana nia gani?
Ni sawa na serikali kuamua kujenga kituo cha polisi mtaani kwenu, halafu muandamane kuwa mnaonewa kwa nini kituo kijengwe mtaani kwenu. Unapata picha mkuu?
kumbe huko hampumui?
how do you call your self great thinker. ?? this is the lowest level a member of this forum can go. duh hizi fikira unaonekana umdhalili hadi basi.Dola kuu mpya ya kiislamu itakayotoka lamu kenya kwa kupitia mombasa, zanzibar, daressalaam hadi mtwara yaani pwani yote ya east africa, ndio nia na madhumuni ya kazi waliyopewa kina ponda, farid, seifsharrif, sheikh rogo na wengine wengi, majeshi ya alshabaab na janjaweed yako tayari kusaidia, fedha hutoka iran na nyingine oman. Wapuuzeni tuone kama patakalika