Jamani miss neddy uko wapi? Njoo upokee zawadi yako basi, afu unigawie na mimi coz kizuri kula na nduguyo hahaha[/QUOTE
Heaven Sent una maana gani kusema kizuri kula na nduguyo?kwa mfano hiyo zawadi ya pili ambayo jamaa "anautoa" moyo wake kwa ujasiri na ukakamavu mithili ya star wa muvi ya kihindi mnagawana vp na miss neddy?ufafanuzi tafadhali mimi ni slow learner
Jamani miss neddy uko wapi? Njoo upokee zawadi yako basi, afu unigawie na mimi coz kizuri kula na nduguyo hahaha
Jamani miss neddy uko wapi? Njoo upokee zawadi yako basi, afu unigawie na mimi coz kizuri kula na nduguyo hahaha[/QUOTE
Heaven Sent una maana gani kusema kizuri kula na nduguyo?kwa mfano hiyo zawadi ya pili ambayo jamaa "anautoa" moyo wake kwa ujasiri na ukakamavu mithili ya star wa muvi ya kihindi mnagawana vp na miss neddy?ufafanuzi tafadhali mimi ni slow learner
Hahaha huo moyo tunagawana pia, nusu anauchukua yeye na nusu nyingine ananipa mimi. Ndo maana halisi ya kizuri kula na nduguyo, yani lazima umgawie nduguyo chochote kizuri ulichonacho hahahhaha
Hahaha huo moyo tunagawana pia, nusu anauchukua yeye na nusu nyingine ananipa mimi. Ndo maana halisi ya kizuri kula na nduguyo, yani lazima umgawie nduguyo chochote kizuri ulichonacho hahahhaha
Sasa kuliko mgawane nusu nusu si bora kila mmoja ajitwalie ulio wake.i have it for u pia.kwa mantiki hiyo miss neddy anachukua wa t bag nawe wachukua wangu.unaona imekaaje hiyo?
Sasa kuliko mgawane nusu nusu si bora kila mmoja ajitwalie ulio wake.i have it for u pia.kwa mantiki hiyo miss neddy anachukua wa t bag nawe wachukua wangu.unaona imekaaje hiyo?
Hahahaha mkush unataka unitunuku eeh?
Nakuomba uipokee japo ni ndogo
CC: MMU members
Wasukuma wanatesa kwa upande wa kike huku kwa upande wa kiume wakurya sisi ndo habari ya mujini.
Miss neddy wapendwaaa....