Asante mdogo wangu...ila sasa nitauweka wapi? Wa Mentor ushajaa moyoni
Jamani miss neddy uko wapi? Njoo upokee zawadi yako basi, afu unigawie na mimi coz kizuri kula na nduguyo hahaha
Wasukuma wanatesa kwa upande wa kike huku kwa upande wa kiume wakurya sisi ndo habari ya mujini.
sasa na moyo wangu hauna nafasi mkurya kashauteka nipe muongozo my dada
Hivi Honey Faith yuko wapi ati?....si vyema aishi bila moyo wa mwingine
nilikuwa nawaza kama wewe heri aje tumpe huu moyo
hahahahahhaha
Mtafute huko nami namtafuta huku
nakwambia sijui nina nyota ya nini lol
Mtu na dada ake, wote wamejazwa roho mtakatifu, halelluyaaaaa!
nilikuwa nawaza kama wewe heri aje tumpe huu moyo
Ya jaha...
Mh!miss neddy!!!
U cant be serious miss neddy.yaani mtu mzima Tee bag anakupa zawadi ya moyo wake then wewe kirahisi tu eti unataka uigawe tena kwa mwingine hiyo zawadi.tukiacha mas khara unaweza kuta uzi huu unabeba "hisia" za kweli za mwana MMU.ushauri wangu ni kuipokea tu hiyo zawadi kwa unyenyekevu.haaa haaaa uwiiiiii
hahahaha chukua moyo tee bag
ndio.je upo tayari nami nikutunuku?
Hahaha ngoja nimuulize kwanza baba kama atakubali me nitunukiwe