Umeona eeh! Ni upepo tu, ukipita mbinu itarudi hewani na kuanza kutumika. Si unajua wabongo kwa kusahau (kujisahaulisha).
Tunajisahaulisha na sio kusahau maana kusahau inapotea kabisa mkuu Kanigini
Vijana wa bongo balaa mbinu zote zinatumika kufikia lengo lao bana
Kibo10 najua sana aise vijana kama Bulldog ni balaa kwenye kufungua wallet yaani hawachelewi kuifungua haswa wanapokutana na mtoto mrembo kama miss chagga hujaona gear yake kaingia na ndinga kifuatacho ITV unafikiri kitakuwa ni nini mkuu
Last edited by a moderator: