DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Wale wawili hawakuwa kwenye formal relationship ndio maana kila mmoja kwa wakati wake alikuwa anachepuka.Kweli mwanaume ni mwanaume, wewe unaona Dai hakutenda lolote baya? Uko kwenye mahusiano na mwanamke huyu unaenda kuzaa na mwanamke mwingine, mara umetembea na yule mara umemtia mimba yule daah yaani sketi isikatishe mbele yako unayo. Kiukweli hadi Zari anakuja kubwaga manyanga alikuwa amevumilia mengi
Tena kodishianeni hadi vifaru na mizinga; na askari mamluki juu lakini kuingiza watoto; hapana kwa kweli!Mwambie baba yako alipotea.. ova.
Maugomvi yenu pambaneni wenyewe.
Sio alipotea, alikufaMwambie baba yako alipotea.. ova.
Maugomvi yenu pambaneni wenyewe.
Kuingiza watoto kwenye vurugu za wazazi ni dalili kwamba upande mmoja umekosa points au umeingia kwenye vita isiyoiweza.Tena kodishianeni hadi vifaru na mizinga; na askari mamluki juu lakini kuingiza watoto; hapana kwa kweli!
Yote sawa.Sio alipotea, alikufa
Sawa mkuuYote sawa.
Cha muhimu ugomvi wenu wa kipumbavu husiwahusishe wasiohusika.
Mambo yake muachieni mwenyewe...
Cc: mahondaw
Le panic buttonView attachment 1124489
Najishangaa rafiki😀😀😀😀Sijui hata unafeli wapi yani
Nyumba sio ya mama wala watoto bali ni ya mwenye haimiliki! Temporarily inahesabika kama makazi ya either mama na watoto au baba na watoto (depending nani yupo responsible kulea watoti ) hadi watoto watakapifikia umri wa miaka 18! Ownership itakuwa transferred kwa mwingine ONLY IF mmiliki halali akifanya hivyo au akifa! Wangekuwa kwenye ndoa, labda mama ange-demand sehemu ya mali ya wanandoa but only if kama kuna mchango wa wote kwenye mali husika! Ni mirathi peke yake ndiyo haijali nani kachangia nini!!Nyumba mali ya MAMA hiyo kusema mali ya watoto ni zamani labda...siku hzi mitoto ikishakua na akili haitaki hata kukaa nyumbani inaona nyumba za wazazi za nini Watoto akili zinapanuaka wanaenda anzisha miji yao huko.
Hiyo nyumba ya ZARI tu no way out ye akae aleeee watoto wake atulie...Sema huyu mama sazngine ananiboa kinoma.
Hahahaahahahah! Mkuu ikifika harusi yenu mnishtue, kwa mapenz yangu juu ya Khantwe Kama rafiki yangu. Three days in Zanzibar is my offerHahaa!! Mi mwenyewe nikabaki mdomo wazi kumsikia Relief Mirzska akisema hakipendi Kiinglish wakati ni yeye ndie kanifanya hadi nami nimgelezee!! Sipendi mtu kuniletea madharau mbele ya mke wangu ndo maana nami nikaamua kukivunja vunja hivyo; bora lenders, alah
😂😂🤣🤣 !!
aiseee wanazengo wasijeanza kufikiria kama ulivyosema hapa
Yaani message ambayo mimi imeniuma kutoka kwa huyu Relief Mirzska wewe ndo umeifurahia kweli kweli hadi unatamani umkumbatie!! Mi sipendi hujui! Ya wasu hatujayamaliza halafu unayazusha mengine!Wow wow wooow ...mimi huyu? This means a lot to me, thanks rafiki
Sasa babe mbona my friend Relief kakufafanulia vizuri hasira za nini?Yaani message ambayo mimi imeniuma kutoka kwa huyu Relief Mirzska wewe ndo umeifurahia kweli kweli hadi unatamani umkumbatie!! Mi sipendi hujui! Ya wasu hatujayamaliza halafu unayazusha mengine!
Ehe umeanza tenaWallah I love you 2 sisters from 2 different mothers!!
Sio hasira somo, ,wivu !! Yaani unamchekea hadi unalegea kabisa; aaaaargh!! Mi sipendi bhana!Sasa babe mbona my friend Relief kakufafanulia vizuri hasira za nini?
Wallah I love you 2 sisters from 2 different mothers!!