DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,283
- 29,481
Wale wawili hawakuwa kwenye formal relationship ndio maana kila mmoja kwa wakati wake alikuwa anachepuka.Kweli mwanaume ni mwanaume, wewe unaona Dai hakutenda lolote baya? Uko kwenye mahusiano na mwanamke huyu unaenda kuzaa na mwanamke mwingine, mara umetembea na yule mara umemtia mimba yule daah yaani sketi isikatishe mbele yako unayo. Kiukweli hadi Zari anakuja kubwaga manyanga alikuwa amevumilia mengi