Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 737
Kwa hiyo wewe binti huna hata mmoja?Labor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Bado mkuu hata mungu alituambia tukaijaze dunia kwa hiyo zari anastahili pongezi kwa kuwa anaifanya vyema ile kazi aliyotumwa.Huyu Zari tunaomba serikalo iingilie kati kwa kweli washa toshaaa.
Ukiwa na uwezo wa kuwalea haina shida unaweza zaa hata kumiLabor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Bado mkuu hata mungu alituambia tukaijaze dunia kwa hiyo zari anastahili pongezi kwa kuwa anaifanya vyema ile kazi aliyotumwa.
Pole sana...Labor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Labor wards ambassador,kuzaa sana nacho kipaji.
Mimi nimezidisha sana watatu tu.
Hongera zake.
Muke ya zimbaHuyo anapenda sana KUCHAPWA NAO.. sio kuzaa... Mwanamke gani huyu...
Huyu Zari tunaomba serikalo iingilie kati kwa kweli washa toshaaa.
Kabisa umeandika hivi, kwani anaipunguzui nini serikali?