Zari anasa mimba ya mzungu

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,701
Mara baada ya kuachana na Diamond Platnumz hatimaye Zari the boss amenasa mimba ya mzungu.

Habari nyeti kutoka mitaa hiyo zinasema mzungu huyo amekuwa na mahusiano ya kimya kimya na Zari kwa muda mrefu hata kabla hawajaachana na Diamond.

Aidha inasemekana chanzo cha Zari kupata "kiburi" cha kumtema Dai, ni mzungu huyo ambaye alikuwa akimpa "jeuri"

Stay tuned.
 
umeinyaka wapi hiyo mkuu? au ndio tetesi tu
 
Kuna watanzania wanapenda ubuyu duuh,na Kwa bahati Nzur nchi yenyewe ina ubuyu wa kutosha
 
Yaani umechukua udaku wa gazeti la sani kuuleta huku.
Hivi si kawaachia mwanaume wenu au..
Halafu lazima kuna mtu anataka kumchafua.. natamani awape cha moto
Halafu picha wameweka ya mkaka alifanya deco kwa bday ya mtoto wao na Nasibu
 

Habari bila picha/videoclip ni takataka tu
 
Tumechoka habari za Zari kwsni akibeba mimba wewe unatakaje? Umbea umbes wakati mwenzako anatimiza maandiko " zaeni mkangezeke" Nikusikie tens!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…