mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,910
- 106,210
Kweli wakulima ni wagumu kuelewa gaza inapokujaga suala la kushuka kwA bei huwa hawaelewi!
MIMI nyanya nishatelekezaga mzigo wote nkawaacha dreva n'a gringo msamvu..mambo Haya Haya ya nyanya
MIMI nyanya nishatelekezaga mzigo wote nkawaacha dreva n'a gringo msamvu..mambo Haya Haya ya nyanya
Unajua kaka wakulima wengi niwale ambao hawajawahi kufika hata makao makuu ya Mkoa wake sasa MTU kama huyo ukimwambia mambo hayo ni mtihani kwake...Kwa wanaojua kutumia fursa wanapiga pesa Iliwahi kuja habari humu ya Tenga la Nyanya huko Kilosa kuuzwa 700...Tulitegemea Serikali ingekuwa msaada mkubwa sana kwenye Eneo hili has a namna ilivyoanza kazi lkn mpaka sasa imeacha kusaidia wakulima namna gani wainuke inatengeneza Bifu na wanaSIASA wenzao matumaini yote kwisha