Ule Mfenesi wenye mazizi makubwa haupo umekatwa...saivi pamepandwa mwengine palepale ulipokuwa ule wa awali na unastawi vizuri tu...umenikumbusha enzi zangu pale madrasa za Maalim Imam RIP na Maalim Bi.Afua zote zikipakana na Msikiti wa Simba mpaka leo zipo ila msikiti ulibomolewa na kujengwa upya...kuna Mzee(khamis kibatari,RIP) aliyekuwa mwazini mwenye sauti kali akiadhini bila ya bomba sauti yake unaisikia mpaka Mwembeladu na Mbuyutaifa...hata waadhini wa misikiti ya Salum Makka na Kwabiziredi wakimsubiri Kibatari amalize ndo waanze wao...saivi wapi?
vijana wapo na bongo flava upuuuzi mtupu...mjini.