Zanzibar zanzibar zanzibar

kwamwewe

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,801
541
Hivi humu JF kweli wamo Great thinkers?????

Kila siku ni thread za Zanzibar hivi Zanzibar vile,

Magazeti ya bara ndio chakula chake Zanzibar ??

HIVI HUKU ZANZIBAR KUNA NINI HATA WATANGANYIKA WAPOTEZE AKILI ZAO NA KUOTA ZANZIBAR WAKATI WOTE????

NI AIBU KUBWA NCHI YA TANGANYIKA YENYE WATU WASIOPUNGUA MILIONI 40 KUWEWESESHWA NA KAVISIWA VYENYE WATU WASIOZIDI MILIONI 1 NA NUSU

HIVI NDIO KUIKUMBATIA ZANZIBAR NDIO UFISADI UTAONDOKA TANGANYIKA ???

HUU NI WAKATI SISI WATANGANYIKA KUANZA KUIFIKIRIA NCHI YETU YA TANGANYIKA YENYE MATATIZO YASIYOHESABIKA NA TUWAACHE WAZANZIBAR WAAMUE WANAVYOTAKA WENYEWE

AU KAMA TUMERIDHIKA NA UFISADI ULIOPO TANGANYIKA NA TUENDELEE KUIMBA NYIMBO ZA WAZANZIBARI
 
Wana JF,

Hivi naweza pewa faida tano tu za msingi za kuung'ang'ania huu muungano mwisho wapemba na waunguja(Maana hakuna taifa la Zanzibar) wanatuona ving'ang'anizi wa muungano????

Let them GO!!!!!!kama wanataka kurudi utumwani hilo wao tu sisi halituhusu.Jamani waacheni waende kama Tanganyika yote yenye mikoa 25++ itakuwa hiyo miwili??????

TUJADILI BILA JAZBA
 
Wana JF,

Hivi naweza pewa faida tano tu za msingi za kuung'ang'ania huu muungano mwisho wapemba na waunguja(Maana hakuna taifa la Zanzibar) wanatuona ving'ang'anizi wa muungano????

Let them GO!!!!!!kama wanataka kurudi utumwani hilo wao tu sisi halituhusu.Jamani waacheni waende kama Tanganyika yote yenye mikoa 25++ itakuwa hiyo miwili??????

TUJADILI BILA JAZBA

Hivi kuna faida gani kwa UK kung'ang'ania Falkland na Gibrautar? No jazba!
 
kwani na wewe ni great thinker? Mbona umekuja na zanzibar zanzibar?ungekuja na Tanganyika
 
Hivi humu JF kweli wamo Great thinkers?????

Kila siku ni thread za Zanzibar hivi Zanzibar vile,

Magazeti ya bara ndio chakula chake Zanzibar ??

HIVI HUKU ZANZIBAR KUNA NINI HATA WATANGANYIKA WAPOTEZE AKILI ZAO NA KUOTA ZANZIBAR WAKATI WOTE????

NI AIBU KUBWA NCHI YA TANGANYIKA YENYE WATU WASIOPUNGUA MILIONI 40 KUWEWESESHWA NA KAVISIWA VYENYE WATU WASIOZIDI MILIONI 1 NA NUSU

HIVI NDIO KUIKUMBATIA ZANZIBAR NDIO UFISADI UTAONDOKA TANGANYIKA ???

HUU NI WAKATI SISI WATANGANYIKA KUANZA KUIFIKIRIA NCHI YETU YA TANGANYIKA YENYE MATATIZO YASIYOHESABIKA NA TUWAACHE WAZANZIBAR WAAMUE WANAVYOTAKA WENYEWE

AU KAMA TUMERIDHIKA NA UFISADI ULIOPO TANGANYIKA NA TUENDELEE KUIMBA NYIMBO ZA WAZANZIBARI

So according to you we are great thinkers when we ignore what is happening in Zanzibar even if it means loss of peace - is it? personally i don't subscribe to that greatness - do you.
 
hivi humu jf kweli wamo great thinkers?????

Kila siku ni thread za zanzibar hivi zanzibar vile,

magazeti ya bara ndio chakula chake zanzibar ??

Hivi huku zanzibar kuna nini hata watanganyika wapoteze akili zao na kuota zanzibar wakati wote????

Ni aibu kubwa nchi ya tanganyika yenye watu wasiopungua milioni 40 kuweweseshwa na kavisiwa vyenye watu wasiozidi milioni 1 na nusu

hivi ndio kuikumbatia zanzibar ndio ufisadi utaondoka tanganyika ???

Huu ni wakati sisi watanganyika kuanza kuifikiria nchi yetu ya tanganyika yenye matatizo yasiyohesabika na tuwaache wazanzibar waamue wanavyotaka wenyewe

au kama tumeridhika na ufisadi uliopo tanganyika na tuendelee kuimba nyimbo za wazanzibari
hatuna shida na znz hata kidogo,hata sasa muungano mimi mtanganyika siutaki kabisa tatizo langu kwa nini mchome kanisa?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom