Zanzibar yenye Mamlaka Kamili

Zanzibar yenye Mamlaka Kamili

Tatizo kubwa ni kuwa hamko serious, Mumestick na mbinu hizo hizo ambazo ni almost failure. Inasikitisha sana.
 
Mimi nipo hapa kujifunza kila comment naipitia mkuu, sijaahidi laki 1 popote.

Mimi ni mwanafunzi nipo hapa, nimwkuwa na shauku ya kujua ushahidi unaoonesha kwamba zanzibar ilikuwa ni sehemu ya tanganyika

Zanzibar haijawahi kuwa sehemu ya Tanganyika, Bali Tanganyika ilishawahi kuwa sehemu ya Zanzibar
 
Back
Top Bottom