Mkuu unachukiaje binadamu wenzako?+Nyinyi Wazanzibari ni kupe tu wa Tanganyika. Kutoka moyoni nikiwa kama raia wa Tanganyika, ninawachukia kutoka moyoni na huu muungano wenu wa kipuuzi wa changu changu, chako changu.
Ushaidi Unaonyesha kabla ya SEYYID said 1840 s Zanzibar ilikuwa SEHEMU ya Tanganyika.Zanzibar ni nchi huru na sio part ya JAMHURI YA muungano komaaa
Tupe huo ushahidi halafu weka namba yko unatumia miamala nikupe 100kUshaidi Unaonyesha kabla ya SEYYID said 1840 s Zanzibar ilikuwa SEHEMU ya Tanganyika.
Are you sure ? Ujue uko na the coin man?Tupe huo ushahidi halafu weka namba yko unatumia miamala nikupe 100k
Aisee nipo makini nakufuatilia mkuuAre you sure ? Ujue uko na the coin man?
Tuliza ramli gentleman 🐒Dawamul haal minalmuhaal
Na wewe unataka evidence hivi .100 k napata .Kwa evidence tu? Unataka evidence ya Aina gani tuanzie hapo Kwanza.Aisee nipo makini nakufuatilia mkuu
Mimi nipo hapa kujifunza kila comment naipitia mkuu, sijaahidi laki 1 popote.Na wewe unataka evidence hivi .100 k napata .Kwa evidence tu? Unataka evidence ya Aina gani tuanzie hapo Kwanza.
Ndio na ukishindwa unatoa ww mkuuAre you sure ? Ujue uko na the coin man?
Sawa tuanzie hapa Kwanza . WEWE NI DENI GANI?Ndio na ukishindwa unatoa ww mkuu
Ww una evidence ya aina ganNa wewe unataka evidence hivi .100 k napata .Kwa evidence tu? Unataka evidence ya Aina gani tuanzie hapo Kwanza.
Mm sitaki nataka uombe tu samahan apa jfSawa tuanzie hapa Kwanza . WEWE NI DENI GANI?
Mm sitaki nataka uombe tu samahan apaSawa tuanzie hapa Kwanza . WEWE NI DENI GANI?
Hamna ichi kitu tangu dunia iumbe kitu peke nI kwamba kulikuepo na muuingiliano baina ya watu wa zanzibar na Tanganyika tena sio kiivo zanzibar sana ilikua na uhusiano na na sehem za lamu MombasaMimi nipo hapa kujifunza kila comment naipitia mkuu, sijaahidi laki 1 popote.
Mimi ni mwanafunzi nipo hapa, nimwkuwa na shauku ya kujua ushahidi unaoonesha kwamba zanzibar ilikuwa ni sehemu ya tanganyika
Sawa nimekusoma . Ukweli upo kuhiusu Zanzibar na hata kwanini Leo hii SSH hawezi kabisa kabisa kufanya mchakato WA Zanzibar huru japokuwa yeye NI mzanzibar.siri NI nyingi mno Tangu enzi za Late exile president of Zanzibar aliyetaka kuitoa Zanzibar Kwa muungano .Mimi nipo hapa kujifunza kila comment naipitia mkuu, sijaahidi laki 1 popote.
Mimi ni mwanafunzi nipo hapa, nimwkuwa na shauku ya kujua ushahidi unaoonesha kwamba zanzibar ilikuwa ni sehemu ya tanganyika
Hapana sema wewe NI dini gani . arguments NI Kama research in principle tunafuata .Mm sitaki nataka uombe tu samahan apa jf