Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,999
- 6,630
Bora aise, tuhamie huko. Tanzania hakuna jipya
Samia ni rais ila yupo katika chama ambacho hakina sera hizo mkuu kwaio samia anafata katiba sera na Ilan ya ccmSawa nimekusoma . Ukweli upo kuhiusu Zanzibar na hata kwanini Leo hii SSH hawezi kabisa kabisa kufanya mchakato WA Zanzibar huru japokuwa yeye NI mzanzibar.siri NI nyingi mno Tangu enzi za Late exile president of Zanzibar aliyetaka kuitoa Zanzibar Kwa muungano .
Mimi nakuelewa mkuu.Hapana sema wewe NI dini gani . arguments NI Kama research in principle tunafuata .
Huwezi Fanya research kinagaubaga.
Waislamu Kama waislamu NI wabishi mkuu .hiyo NI hypothesis ya Kwanza sorry 😁Mimi nakuelewa mkuu.
Mimi ni Muisilamu najua haukuniuliza mimi
Hapana sema wewe NI dini gani . arguments NI Kama research in principle tunafuata .
Huwezi Fanya research
Kaniuliza mm ila mm pia muislamMimi nakuelewa mkuu.
Mimi ni Muisilamu najua haukuniuliza mimi
Waislam ndio watu wanajilewa nenda kasome vitabu vya ukolon wa kijeruman vingi vinazungumzia kwamba waislam ni wagumu kuwatawalaWaislamu Kama waislamu NI wabishi mkuu .hiyo NI hypothesis ya Kwanza sorry 😁
Sawa . Waislamu wanajielewa ilaaa NI wabishi Sana . Kuna 100 k hapa nazitaka unaonaje argument yetu ikafanyika PM ? MORE PRIVATE?,😁Waislam ndio watu wanajilewa nenda kasome vitabu vya ukolon wa kijeruman vingi vinazungumzia kwamba waislam ni wagumu kuwatawala
It's okay ila mwenzako mwanafunzi mchana nakua chuo kwann tusifanya saa2 usikuSawa . Waislamu wanajielewa ilaaa NI wabishi Sana . Kuna 100 k hapa nazitaka unaonaje argument yetu ikafanyika PM ? MORE PRIVATE?,😁
MZGAKama una amini siku zanzibar itarudi kua dola basi comment make ZANZIBAR great again View attachment 3339346
No problem. Uko na lecture .ikitokea upo na sup Una NI pm nakusaidia Kwa H.O.D No matter which university you are?ila hapa JF 100 k nazitaka nikaenjoy talatala lounge . Upo ?Now NI PM .It's okay ila mwenzako mwanafunzi mchana nakua chuo kwann tusifanya saa2 usiku
Passport yako inasemaje wewe fala?Zanzibar ni nchi huru na sio part ya JAMHURI YA muungano komaaa
Jana tu niliwasikia watu wanadai wawekewe misikiti ya kisasa kila mtaa na madrasa kama Arabuni, imagine, mtu hawazi shule eti anataka msikiti na madrasam kama si kufuga majini na ugaidi ni nini?Watu hamna visogo kichwa kama tenesi mnawezaje kujisimamia? Tulieni
Kwa sasa imepungukiwa nini?Kama una amini siku zanzibar itarudi kua dola basi comment make ZANZIBAR great again View attachment 3339346
Sup zipo mana nasoma kitu hakipo moyon mkuuNo problem. Uko na lecture .ikitokea upo na sup Una NI pm nakusaidia Kwa H.O.D No matter which university you are?ila hapa JF 100 k nazitaka nikaenjoy talatala lounge . Upo ?Now NI PM .
Kelele za Zanzibar kuwa nchi huru mtazipata siku Rais akiwa Mtanganyika.Kama una amini siku zanzibar itarudi kua dola basi comment make ZANZIBAR great again View attachment 3339346
😀MAZAGA
Ninawachukia kwa sababu ya tabia yao ya ukupe na pia kupenda kudeka na kulalamika muda wote.Mkuu unachukiaje binadamu wenzako?+
Kweli mkuuAu uongo la mama?
Bro jua kutofautisha kati ya waislam na BAKWATAJana tu niliwasikia watu wanadai wawekewe misikiti ya kisasa kila mtaa na madrasa kama Arabuni, imagine, mtu hawazi shule eti anataka msikiti na madrasam kama si kufuga majini na ugaidi ni nini?