Zanzibar wants its own currency?

Tunanyonya nini Zanzibar? Kuna rasilimali gani za kugombania huko Zanzibar? Umeshafikiria vizuri au umeropoka tu? Ni kitu gani kipo Zanzibar ambacho hatuna hapa Bara?

We are doing you a favour and you are constantly making noises...!!! Ebo!!!


Rasilmali ipo wewe hebu muulize Massa!
 

Joka kuu migogoro ya UDINI hapo Tanganyika ni matokeo ya ATHARI ZA UKOLONI WA MWINGEREZA. Waingereza walitumia DIVIDE and RULE katika kuitawala East Afrika. Kenya na Uganda alitumia Ukabila. ndio maana mpaka leo Kenya na Uganda kuna Ukabila.

Tanganyika kwa sababu kulikuwa na makabila mengi sana walitumia UDINI yaani ukristo na Uislam. na ndilo linalowasibu mpaka leo.

Sasa tusiwalaumu watu wa nje bali mkubali kuwa ni athari za ukoloni na JKN kushadidia hilo.

Soma historia vizuri utaona
 

Pakacha, awali ya yote tuchanganye R na L (balubalu na barubaru).

Ahali yangu ninapochambua jambo siangalii kuwa natoka wapi. Hilo sio tatizo kwangu ila nia ni kufikisha maoni yangu kwa jamii. Sijali natoka wapi bali najali naishi wapi na kupata dair bread yangu.

Pili , nilitumia tu kifupi cha wapemba na waunguja nikiwa na maana kuna visiwa viwili yaani Pemba na Unguja. Kumbuka kuwa kila penye viwili lazima kuwe na uvutano. ( Mfano Simba na Yanga. Kila mpenzi wa soka huko Tanzania ni lazima awe mpenzi wa timu moja katika hizi ima Simba au Yanga kisha ndio atakuwa na timu nyingine let say Mtibwa, malindi, miembeni au hata African sports au coastal union.

sasa tukizama kwenye historia ya visiwa vyetu utaona kulikuwa na vyama hasimu viwili tokea enzi hizo na kila chama kilikuwa na ngome yake kwenye kisiwa kimoja. na hata hivi leo utaona the same kuna vyama vikuu viwili na kila chama kina dominate kisiwa kimoja.

Sasa pamoja na kuwa na tofauti ya kisiasa lakini watu hawa wanafungamanishwa na DINI moja yaani UISLAMU..

nakushauri usome vizuri sana Historia ya visiwa hivyo bila jazba na kwa nia ya kuelewa utaona hao niliyokudokolea kidogo.
 

Ka kukujibu hapo kuna vitu vingi vinavyoweza kutenganisha visiwa hivyo. Awali kama nilivyosema ule uwili wake hiyo ni sabau ya asli. lakini kikubwa ni UONGOZI kwani viongozi wengi wamekuwa wanabagua upande mmoja wa visiwa hivyo na kupendelea upande mwingine.

lakini kubwa zaidi ni madhila yaliyowapata watu wakti wa mapinduzi na hata baada ya mapinduzi. Nafikiri kama kweli ni mtu wa Znz utajua naongelea nini.

Vile vile misukumo hii ya kiitikadi za kisiasa na hata mgawanyo wa uongozi katika visiwa hivi.
hayo ni kwa ufupi na kama unataka niyashereheshe nieleze nitafanya hivyo.
 


Dr Hamza nakubaliana na maneno yako kabisa.

Nakuomba ujue hawa ni wale wachache waliosoma Historia ya Zanzibar iliyopotoshwa kwa hiyo hawayajui mengi sana.

naomba nikuulize kwanini ngome ya CUF ni Pemba? na ile ya CCM ni Unguja?
 


Asiye kujua hakuthamini.

Je Dr unacho kitambulisho cha ukaazi? kama huna katafute kwenu.
Na ukija Zanzibar uje na VIZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…