Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Babu PerNDU KI-HIDE ni mzanzibara eeenh?mbona anaongea kimdebwedo?Wale siyo wazanzibar ni WAZANZIBARA.
Babu PerNDU KI-HIDE ni mzanzibara eeenh?mbona anaongea kimdebwedo?Wale siyo wazanzibar ni WAZANZIBARA.
Thats an interesting question to say the least...
Mkoa wa zanzibar hauwezi kujiendesha kama nchi..bajeti yao yote inatokana na mapato ya bara
Ndo maana Rais ajae,awe lowasa,membe,pinda wanatakiwa waipe zanzibar uhuru wake.
Mkuu umewahi kusikia hata siku moja Bunge limeshtakiwa? Haya UKAWA mkaaibike tena mahakamani!SUPER DREAM
ONE DAY IT MAY BE TRUE
KONGOLE MKUU
NAAMINI BUNGE LA KATIBA LINAWEZA KUSHTAKIWA KWA KUHAKAHUA KURA.
KAMA WANASHERIA MUPO TUPENI MUONGOZO.
AMA KURA YA UHURU IT MAY BE IF Dr Shein say yes.
rayun siyo watanganyika wote tuliuopenda hili litokee,hakuna kitu kizuri kama kuwa na maridhiano kw apande zote mbili.Leo upande mmoja unaamua mustakabali wa nchi ya pili siyo sahihi.Japo tunapenda Muungano lakini tatizo kubwa wabunge wenu wa Zanzibar ndiyo wakuwalaumu na wala si watanganyika.
Unajua kukataa laki 3 kwa siku kwa muda wote waliokaa Dodoma inataka moyo. Tatizo ni umaskini
Mmmh ndio hii huoni
Kaka mtetezi wa Zanzibar huru,leo baada ya hili la jana unatuambiaje?
Hatuna imani na katiba hatuna imani na muungano, hatuna imani na serikali, hivi ninavyo kuwambia iwe tetesi au sio tetesi, tunasubiri baraza la wakilishi lianze tudai kura ya maoni na tume huru, ikiwa ccm zanzibar watakataa hilo sisi wenye asili ya pemba tutaungamana na wapemba wazee wetu kudai pemba huru, hapo ndipo wataamua kuendelea kuwa moja zanzibar kama kabla ya mapinduzi au kuendelea na muungano wao wa unguja na Dodoma.
Hapo nitafurahi kusikia unguja mkowa kama mafia.