Wakuu habari za ndani kabisa kutoka Visiwani ni kuwa tayari watu wa kule washaanza na Plan B wakati Dodoma bado ngoma mbichi.
Kuna watu wa Intelligentsia (sio inteligensia) ambao wana asili ya Pemba na Unguja (wamo CCM, CUF, waaio na vyama) wanajiita "Zanzibar First " na ni wasomi, wana influence, wana pesa, wako cultured, wako socially aware, wako exposed na dunia inavyokwenda na wana linkages na network na wenzao toka nchi mbali mbali dunian wameandaa "White Paper" au tuseme Blue Print ya future ya Znz na hoja zao kuu mbili ni
1.wapewe referendum for independence ili waamue kama wawe huru au waendelee kuongozwa toka Dar/Dodoma
2. Kura zao zikiwa NO wanataka Znz ipewe kitu kinachoitwa DEVOLUTION MAX ambayo watajotawala kwa kilakitu kasoro DEFENCE na FOREIGN AFFAIRS
White paper yao inaelezea jinsi gani watakavyo jitawala, kiuchumi, kijamii na kisiasa na wamejikita zaidi kwenye uchumi.
Inavyoonekana wanasiasa wote wa CUF na CCM ambao wanakula kuku kwa system iliopo watapata taabu sana kwani hawa jamaaa wamejiandaa kisawa sawa sasa cha kujiuliza je hawa jamaa wanajaribu kuwapindua viongozi walipo au vipi?
Nikipewa rukhsa na aliteninitumia hii doc naweza kuiweka hapa kwa faida ya wote.
Stay tuned...