Zanzibar wajiandaa kudai Referendum for Independence + Devolution Max

Zanzibar wajiandaa kudai Referendum for Independence + Devolution Max

Mkoa wa zanzibar hauwezi kujiendesha kama nchi..bajeti yao yote inatokana na mapato ya bara

Utalii tuu utaiwezesha zanzibar kutoa huduma zote muhimu bure na serikali kujitosheleza iwapo tuu ccm itaondoka madarakani
 
Humo Jussa na mstaafu Karume wanakosekana kweli?
 
Wakuu habari za ndani kabisa kutoka Visiwani ni kuwa tayari watu wa kule washaanza na Plan B wakati Dodoma bado ngoma mbichi.

Kuna watu wa Intelligentsia (sio inteligensia) ambao wana asili ya Pemba na Unguja (wamo CCM, CUF, waaio na vyama) wanajiita "Zanzibar First " na ni wasomi, wana influence, wana pesa, wako cultured, wako socially aware, wako exposed na dunia inavyokwenda na wana linkages na network na wenzao toka nchi mbali mbali dunian wameandaa "White Paper" au tuseme Blue Print ya future ya Znz na hoja zao kuu mbili ni

1.wapewe referendum for independence ili waamue kama wawe huru au waendelee kuongozwa toka Dar/Dodoma

2. Kura zao zikiwa NO wanataka Znz ipewe kitu kinachoitwa DEVOLUTION MAX ambayo watajotawala kwa kilakitu kasoro DEFENCE na FOREIGN AFFAIRS

White paper yao inaelezea jinsi gani watakavyo jitawala, kiuchumi, kijamii na kisiasa na wamejikita zaidi kwenye uchumi.


Inavyoonekana wanasiasa wote wa CUF na CCM ambao wanakula kuku kwa system iliopo watapata taabu sana kwani hawa jamaaa wamejiandaa kisawa sawa sasa cha kujiuliza je hawa jamaa wanajaribu kuwapindua viongozi walipo au vipi?

Nikipewa rukhsa na aliteninitumia hii doc naweza kuiweka hapa kwa faida ya wote.


Stay tuned...

Natumai bado ni tetesi ila kama Mchumi naisubiria kwa hamu hiyo dosier kwani zisije kuwa kelele za kisiasa tu. Mie siiungi mkono vipengele vingi vya katiba ila nimefurahi swala la utaifa wa kitanzania kwani Rasimu ya Warioba ilitishia uhai wa Tanzania.
 
Mimi naunga mkono referrendum free and fair kuhusu Zanzibar.

Kama demokrasia ni utawala wa watu, kwa watu na kwa ajili ya watu, kwa nini watu wasipewe nafasi ya kuamua kama Zanzibar iendelee au isiendelee kuwa katika muungano?

Kwa hiyo kimsingi sina tatizo na referrendum.

Kuna maswali ya msingi yanahitaji kujadikiwa.

Kwa kuwa sasa hatuna uraia wa Zanzibar, Mzanzibari ni nani? Scotland waliamua kwamba yeyote aliyepo Scotland physically aruhusiwe kwa sababu walishindwa kujibu swali hili.

Referrendum ifanywe Zanzibar tu au Tanzania nzima?

Ikifanywa Zanzibar tu, atakayeshiriki na asiyeshiriki watatenganishwa vipi?

Ikifanywa nchi nzima, basis ya decision iwe simple majority? Ya wapi? Ili muungano uendelee uhitaji kupata simple majority kote?

Basically Scotland hawakushindwa kujibu swali . Wao walisema yeyete ambaye ni resident Scotland alipewa rukhsa ya kupiga kura. Znz wanaweza kufanya the same as long as wanayo proof ya nani ni resident. Hii si kazi kubwa afterall Znz wapo raia...wana passports...wana vitambulisho...wana daftari la wapiga kura....wana vitambulisho na kutokana na utata uliopo siku za nyuma si kazi kubwa ku verify who is who pale kisiwani. Scotland was more easier to say the least.

Referendum ifanywe Znz kwani wao ndio wanaotaka kujiondoa na status yao kama nchi. Bara hakuna problem hiyo.

Aliyeshiriki na asiyeshiriki watajulikana tuu kama ni resident au raia au mgeni. Basically hiyo ni right ya kila mwenye right ya kupiga kura znz

Nchi nzima itakuwa haiwezekani kwa sababu wanaotaka kujitenga ni wao wazanzibari na wao ndio walioomba referendum japo kisheria wanaweza kupiga kura bungeni kwao na kuamua kujiondoa frm muungano
 
Mimi naunga mkono referrendum free and fair kuhusu Zanzibar.

Kama demokrasia ni utawala wa watu, kwa watu na kwa ajili ya watu, kwa nini watu wasipewe nafasi ya kuamua kama Zanzibar iendelee au isiendelee kuwa katika muungano?

Kwa hiyo kimsingi sina tatizo na referrendum.

Kuna maswali ya msingi yanahitaji kujadikiwa.

Kwa kuwa sasa hatuna uraia wa Zanzibar, Mzanzibari ni nani? Scotland waliamua kwamba yeyote aliyepo Scotland physically aruhusiwe kwa sababu walishindwa kujibu swali hili.

Referrendum ifanywe Zanzibar tu au Tanzania nzima?

Ikifanywa Zanzibar tu, atakayeshiriki na asiyeshiriki watatenganishwa vipi?

Ikifanywa nchi nzima, basis ya decision iwe simple majority? Ya wapi? Ili muungano uendelee uhitaji kupata simple majority kote?

Swali la Kwanza ni nani mzanzibari na nani anatakiwa kupiga kura ya referendum? Kwasababu hata wewe Kiranga ukiwa umeishi Zanzibar miaka 10 unapata kitambulisho cha mzanzibari mkaazi na kuwa Mzanzibar. Sasa huyu ni mkaazi na sio raia na inakuwaje mkaazi akapewa haki ya kiraia. Na upande wa pili wapo raia waliozaliwa Zanzibar wakaishi nje ya Zanzibar ambao wamekataliwa vitambulisho vya mzanzibari mkaazi ila hawa ni Raia na wanayo haki ya kupiga kura ila katiba haiwatambui. Hili ni jambo la kwanza litakuwa kikwazo katika referendum hasa wakienda mahakamani!!!
 
Swali la Kwanza ni nani mzanzibari na nani anatakiwa kupiga kura ya referendum? Kwasababu hata wewe Kiranga ukiwa umeishi Zanzibar miaka 10 unapata kitambulisho cha mzanzibari mkaazi na kuwa Mzanzibar. Sasa huyu ni mkaazi na sio raia na inakuwaje mkaazi akapewa haki ya kiraia. Hili ni jambo la kwanza katika referendum litakuwa kikwazo hasa wakienda mahakamani!!!

Sidhani kama ni ishue kubwa sana. Mwenye right ni yule mwenye haki ya kuoiga kura Znz it's that simple.
 
Sure.

Nyerere was a disgrace to this nation.

Even though we are all going to die but thanks god for taking his soul away.

unaitafuta laana kwa nguvu kweli, hata kama kuna mahali alikosea.. sidhani kama ni sahihi kufurahia kifo chake.
 
Sidhani kama ni ishue kubwa sana. Mwenye right ni yule mwenye haki ya kuoiga kura Znz it's that simple.

Ni issue kwasababu mwenye haki ya kupiga kura Zanzibar ni Mtanzania na kitambulisho chake cha kupiga kura kimeteuliwa na Zanzibar Electoral Commission. Sasa kitambulisho hicho hicho pia kinatambuliwa na Electoral Commission ya Tanzania sasa haitofautishi huyu ni Mzanzibari au yule Mtanganyika. Kinachoweza kutofautisha ni kitambulisho cha ukaazi kati ya Zanzibar na Tanzania. That is why nimeuliza referendum hiyo atapiga kura mkaazi au raia? Na je mkaazi ana haki kuliko raia kwani raia wa Zanzibar baadhi yao hawana haki ya kupiga kura na je wale wenye haki ya uraia by birth lakini wanaishi nje ya Zanzibar na hawakubaliki kupata kitambulisho cha uzanzibari mkaazi itakuwaje? Msumari mnene huo yangu macho huko mahakamani sijui rafiki yangu Dr Fauz watajibu nini ila kazi wanayo.
 
nyie tanganyika mnaponzwa na kitu gani kuingangania zanzibar kiasi icho??? km si njaa na choyo, kama visiwa mnavyo tele, kama bahari mnayo, kama ardhi mnayo, sioni mnachohitaji kutoka zanzibar

rayun siyo watanganyika wote tuliuopenda hili litokee,hakuna kitu kizuri kama kuwa na maridhiano kw apande zote mbili.Leo upande mmoja unaamua mustakabali wa nchi ya pili siyo sahihi.Japo tunapenda Muungano lakini tatizo kubwa wabunge wenu wa Zanzibar ndiyo wakuwalaumu na wala si watanganyika.
 
Humo Jussa na mstaafu Karume wanakosekana kweli?

Karume nae yumo kwenye list wanaoutaka urais wa JMT , balaa la Zanzibar utaliona May 2015 baada ya ccm kupitisha mtu wa bara ....tuombe uzima
 
Watu gani nyie kila mara mnapenda utengano badala ya umoja? Hamjui kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu? Hizo zitabaki kuwa porojo zenu na hazitafanikiwa kwa kuwa wa TZ (ZNZ+TNGYK) wengi tunapenda umoja na hatutadanganyika na hao wachache wanaotaka utengano kwa ajili ya ubinafsi wao.



Haya sasa. Km hii ni kweli kwa maana ya sasa inaweza kuwa kweli lkn huko tuendako hili haliepukiki. Katiba mpya ilitakiwa kumaliza kila kitu lkn naona maintarahamwe wapokwa fahamu kabisa kuhusu hili
 
Kama ni kweli ni sisi kupitia Sita tumewafikisha hapo. Ni mipango ya Mungu kwa ukombozi wa Tanganyika
 
Aman Karume hawezi kukubali kuburuzwa kitoto........hatokaa kimya ......:cool2:
 
Wanaponzwa na shibe ya tonge mbili za ubwabwa wa chama cha maharamia na wahuni.

nyie tanganyika mnaponzwa na kitu gani kuingangania zanzibar kiasi icho??? km si njaa na choyo, kama visiwa mnavyo tele, kama bahari mnayo, kama ardhi mnayo, sioni mnachohitaji kutoka zanzibar
 
Naunga mkono znz ijitawale,tunawaonea sana.znz ni nchi tuwaache waamue mambo yao kama wanatuhitaji au la
 
Mbona zanzibar ni huru tangu mwaka 1963, wanataka independence gani hiyo??
 
Basically Scotland hawakushindwa kujibu swali . Wao walisema yeyete ambaye ni resident Scotland alipewa rukhsa ya kupiga kura. Znz wanaweza kufanya the same as long as wanayo proof ya nani ni resident. Hii si kazi kubwa afterall Znz wapo raia...wana passports...wana vitambulisho...wana daftari la wapiga kura....wana vitambulisho na kutokana na utata uliopo siku za nyuma si kazi kubwa ku verify who is who pale kisiwani. Scotland was more easier to say the least.

Referendum ifanywe Znz kwani wao ndio wanaotaka kujiondoa na status yao kama nchi. Bara hakuna problem hiyo.

Aliyeshiriki na asiyeshiriki watajulikana tuu kama ni resident au raia au mgeni. Basically hiyo ni right ya kila mwenye right ya kupiga kura znz

Nchi nzima itakuwa haiwezekani kwa sababu wanaotaka kujitenga ni wao wazanzibari na wao ndio walioomba referendum japo kisheria wanaweza kupiga kura bungeni kwao na kuamua kujiondoa frm muungano

Pasport ya Zanzibar ikoje?
 
Swali la Kwanza ni nani mzanzibari na nani anatakiwa kupiga kura ya referendum? Kwasababu hata wewe Kiranga ukiwa umeishi Zanzibar miaka 10 unapata kitambulisho cha mzanzibari mkaazi na kuwa Mzanzibar. Sasa huyu ni mkaazi na sio raia na inakuwaje mkaazi akapewa haki ya kiraia. Na upande wa pili wapo raia waliozaliwa Zanzibar wakaishi nje ya Zanzibar ambao wamekataliwa vitambulisho vya mzanzibari mkaazi ila hawa ni Raia na wanayo haki ya kupiga kura ila katiba haiwatambui. Hili ni jambo la kwanza litakuwa kikwazo katika referendum hasa wakienda mahakamani!!!

Umerudia swali ambalo nishauliza katika post uliyoinukuu..

Referrendum inaweza kufanywa nchi nzima kwa sababu hii.

Pia kwa sababu nyingine.

Wazanzibari wanaweza kuukubali muungano halafu watu wa bara wakaukataa, in theory at least.

Kwa hiyo referendum ni muhimu kufanywa nchi nzima.
 
Back
Top Bottom