nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 827
Kwa mwenye kufahamu kuhusu nafasi kilichopo chuo kikuu cha Zanzibar au ZU? Kulinganisha na Vyuo vikuu Afrika Mashariki? Kinamilikiwa na nani? Je ndio kilikuwa kinaitwa SUZA? Katika soko la ajira Digrii zake zinapenya? Au nikipimo gani kinatumika kutambua nafasi ya chuo?