Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,238
- 1,655
Ugaidi tena? Nadhani historia itajieleza yenyewe. Muda ni shahidi.Hakuna chaguo jingine zaidi ya kuwafuta kwenye ramani ya dunia liwe fundisho na kwa magaidi wengine
Ugaidi tena? Nadhani historia itajieleza yenyewe. Muda ni shahidi.Hakuna chaguo jingine zaidi ya kuwafuta kwenye ramani ya dunia liwe fundisho na kwa magaidi wengine
YapUgaidi tena? Nadhani historia itajieleza yenyewe. Muda ni shahidi.
Mji wenye idadi kubwa ya wageni afrika nzima hupokea watu wenye hulka na tamaduni tofauti tofauti, huko ni kukosa tuh kwa kutungwa sheria ya mazingira mathubuti ya kuwabana wenyeji na wageni, bado nitaipongeza Zanzibar kwa namna wanavyotunza tamaduni zao na asili ya utalii, maeneo mengi yenye uchafu watalii hawafiki huko! Lkn wanasafar na kitu cha kufanya kuliweka jiji la unguja kuwa safi na salama, na sio kuwafokea na kuwakejeri kiasi hicho, weka mifumo mizuri ya maandishi wakisoma watoke huko na sio kuwakashfu. AsantePunde ukifika Zanzibar Kwa njia ya Ndege au boti utakutana na uchafu usiomithilika (kuanzia Bandarini Hadi Mjini). Unabaki kujiuliza je huu utamaduni Ni Jambo la kawaida kisiwani au ni nini? Tatizo Ni nn haswa?
View attachment 2774141View attachment 2774142View attachment 2774143
Unataka kutuambia nini pale Muhammad alipofanya haja kubwa na kutumia mawe ?Hivi mchafu ni nani hapa kati ya yule anayefanya haja kubwa na kutumia makaratasi au kigogo cha mti,
Niwache kukuvurugeni akina nani? Unajielewa vizuri?Acha kutuvuruga wewe, kula UROJO mayai yako chini.
Ni vizuri sana mkuu. Nadhani unaelewa Kiswahili. Mtume Muhammad SAW alimtuma Abu Huraira amletee mawe. Jee mimi nimetaja mawe? Naomba nikukumbushe tu kwamba mimi nimetaja makaratasi/karatasi na kipande cha mti. Jitajihidi usikurupuke kwa mihemko. Mambo haya hayataki mihemko. Sasa jibu lile swali langu nililouliza juu ya nani mchafu? Ikiwa nawe umo usione aibu, sema tu. Najua hapo ulipo unanuka mikojo.Unataka kutuambia nini pale Muhammad alipofanya haja kubwa na kutumia mawe ?
Maandiko ya waislamu yanasema
Abu Huraira: Nilimfuata Mtume wakati alikuwa anaenda kujisaidia. Alikuwa haangalii kushoto wala kulia. Kwa hivyo, nilipokaribia karibu naye aliniambia, "Nitafutie mawe ili nisafishie sehemu zangu za siri(au alisema kitu kinachofanana), na usilete mfupa au kipande cha dung." Basi nikaleta mawe katika kona ya vazi langu na kuziweka kando yake kisha nikamwacha. Alipomaliza (kutoka kusaidia) aliitumia mawe kujisafisha. (Sahih Bukhari 1: 4: 157)
Wanaweza kukaa na nguo ya ndani bila kufuliwa semester nzimaDuh! Hawa watu ni wachafu wa asili wala hutakiwi kwenda kwao kuthibitisha hilo. Mzenji anakwenda chooni ameweka maji ya kutawazia kwenye Chombo anacholia chakula, anakula mchana Chombo alichotumia atasuuza usiku atakapokwenda kuchukua chakula. Chuo kikuu kaangalie kitanda cha Mzenji.
Ushan'fahamu SheheNi hatari sana hakika
Vizuri umekiri mtume Muhammad alikuwa anachamba kwa kutumia mawe , mengine ni blablaNi vizuri sana mkuu. Nadhani unaelewa Kiswahili. Mtume Muhammad SAW alimtuma Abu Huraira amletee mawe.
Hili halina shaka. Nilichosema ni kutumia makaratasi na vipande vya miti kuhusu kuchamba pamoja na kukukuta dushee baada ya kukojoa na nikauliza ni upi chafu kati ya kutumia maji na hivyovieleza?Vizuri umekiri mtume Muhammad alikuwa anachamba kwa kutumia mawe , mengine ni blabla
Vyote uchafu mawe, karatasi na mitiHili halina shaka. Nilichosema ni kutumia makaratasi na vipande vya miti kuhusu kuchamba pamoja na kukukuta dushee baada ya kukojoa na nikauliza ni upi chafu kati ya kutumia maji na hivyovieleza?
Kwa hivyo sio waislamu tu walio wachafu ila ni pamoja na hao wengine wanaotumia karatasi na vipande vya miti kujisafisha?Vyote uchafu mawe, karatasi na miti
Hebu watu wawe na shukran kwani pwani yote ya Africa mashariki ustArabu wa kujisafisha hasa Kwa maji ni Mila ya kiislamu.Vyote uchafu mawe, karatasi na miti