Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
SOME BODY MOST HAVE BRAIN DAMAGE TO BELIEVE THIS, THE VIDEO IS 100% FAKE VIDEO
USIJARIBU KULETA TENA UCHAFU KAMA HUU HAPA KWA GREAT THINKERS UTAHATARISHA MAISHA YAKO NA KULETA VITA VYA UDINI KWA TAIFA LETU LA TANGANYIKA.....UMESAHAU ILE HISTORIA YA UHURU WETU WA TANGANYIKA KUWA WAISILAMU WA DAR ES SALAAM NDIO WANAHARAKATI WA MWANZO KUPIGANIA UHURU WETU WA TANGANYIKA
Police wamewalea vya kutosha au mashehe, muda mrefu wamekuwa wakihubiri upuuzi, police wamekaa kimya tu. Mahubiri yao yote ni kutukana watanganyika, eti "Tanganyika bomba la mavi". Kwa muda wote huo wamekuwa wanachezea sharubu za Simba, sasa kinachowafaa ni kichapo tu ili waende kuwasimulia wake zao, shenzi type. Asiye taka muungano arudi Ngazija na Oman.
Nenda na uchizi wako, unakichaa au mental case!
SOME BODY MOST HAVE BRAIN DAMAGE TO BELIEVE THIS, THE VIDEO IS 100% FAKE VIDEO
USIJARIBU KULETA TENA UCHAFU KAMA HUU HAPA KWA GREAT THINKERS UTAHATARISHA MAISHA YAKO NA KULETA VITA VYA UDINI KWA TAIFA LETU LA TANGANYIKA.....UMESAHAU ILE HISTORIA YA UHURU WETU WA TANGANYIKA KUWA WAISILAMU WA DAR ES SALAAM NDIO WANAHARAKATI WA MWANZO KUPIGANIA UHURU WETU WA TANGANYIKA
Hali visiwani Zanzibar si shwari. Taarifa tulizopata ni kwamba kumekuwa makabiliano baina ya polisi wa kutuliza ghasia FFU na kikundi cha kihuni kinachojiita Kikundi cha Uamsho. Je hawa wanaojiita Kikundi cha Uamsho wanaotaka muungano uvunjwe wametumwa na nani? Je ni yale yale ya kuigiza yale ya wenzao wa Mombasa Republic Council huko Kenya wanaodai kujitenga ili washirikiane vizuri na mabwana zao wa kiarabu? Leo wazanzibari wanakataa muungano wakidai wajitenge wawe huru. Je na Pemba wakidai kujitenga na Zanzibar huru mambo yatakuwaje? Mbona wenzetu wanashindwa kujifunza toka Comoro? Serikali ya muungano inapaswa kuingilia na kuhakikisha kikundi hiki kinashughulikiwa kwa njia stahiki yaani, kuruhusu wananchi kuujadili muungano. Je ni kwanini serikalil ya Muungano imekuwa kimya kwenye tatizo la muungano au ni ile hali ya serikali husika kushindwa karibu katika kila kitu? Je hiki kikundi kinachoanza kutumia mabavu cha Uamsho kinachofanya ni uamsho au Uangusho?
kwani wwe unaona huu muumngano una faid ayyote?unaweza kunitajia faida zenyewe?kwangu hao wazee wapo sahihi kupinga huu muungano
Nenda na uchizi wako, unakichaa au mental case!
wengine saa iz, sisi uku bara tunakula bata tu,maisha swafi kabisa.
Hawa Majirani! Mara Kenya vurugu, mara utasikia Uganda, LRA, sasa na hawa Majirani wengine, Zanzibar wameshaanza kutifuana!...mapambano mema...
mm ni mtanganyika na nimefuatilia sana kuhusu pirika za muamsho na kitu kinachonisumbua ni kuwa mbona wazanzibar karibuni wote 90% wako pamoja bega kwa bega na Uamsho...kuna viongozi wachache wa jamhuri ya muungano wanasema muamsho ni kikundi cha wahuni basi wazanzibari wote ni wahuni kwa ajili wanadai Zanzibar yao huruKuna siri gani kubwa kuhusu huu muungano?? mpaka serikali ikashindwa kuwaambia wanachi kwa muda wa miaka 48??
Kile kikundi cha UAMSHO kinachodai zanzibar huru kikidai hakitaki muungano sasa hivi kinatawanywa na FFU kwa mabomu ya machozi na risasi baada ya risasi kadhaa kupigwa hewani.
Wapo hapa Kisonge wakitaka kuelekea kituo cha polisi cha MKUNAZINI. Fujo hizi ni baada ya viongozi wao leo kukamatwa baada ya swala ya magharibi na leo walikua na mkutano eneo la Lumumba.
Wazanzibar wanadai nchi yao, mi-Tanganyika inacheka na CCM tu.
Hii ni JF ndugu na hapa watu wanatumia ID fake, usije kugeuziwa kibao wakati wa faragha. It seems like your ass hole is horny