Zanzibar: Risasi zarindima!

Status
Not open for further replies.
SOME BODY MOST HAVE BRAIN DAMAGE TO BELIEVE THIS, THE VIDEO IS 100% FAKE VIDEO

USIJARIBU KULETA TENA UCHAFU KAMA HUU HAPA KWA GREAT THINKERS UTAHATARISHA MAISHA YAKO NA KULETA VITA VYA UDINI KWA TAIFA LETU LA TANGANYIKA.....UMESAHAU ILE HISTORIA YA UHURU WETU WA TANGANYIKA KUWA WAISILAMU WA DAR ES SALAAM NDIO WANAHARAKATI WA MWANZO KUPIGANIA UHURU WETU WA TANGANYIKA
A,P20S-omg.gif.pagespeed.ce.GLN-Xz24o1.gif


Mkuu, mbona hizo clips zote nyingine zinaelekea kwenye jambo lile lile unalotolea tahadhari????????
Vita vya Udini?
Vya kuita wakristo Makafiri????
 
Police wamewalea vya kutosha au mashehe, muda mrefu wamekuwa wakihubiri upuuzi, police wamekaa kimya tu. Mahubiri yao yote ni kutukana watanganyika, eti "Tanganyika bomba la mavi". Kwa muda wote huo wamekuwa wanachezea sharubu za Simba, sasa kinachowafaa ni kichapo tu ili waende kuwasimulia wake zao, shenzi type. Asiye taka muungano arudi Ngazija na Oman.

Nenda na uchizi wako, unakichaa au mental case!
 
mm ni mtanganyika na nimefuatilia sana kuhusu pirika za muamsho na kitu kinachonisumbua ni kuwa mbona wazanzibar karibuni wote 90% wako pamoja bega kwa bega na Uamsho...kuna viongozi wachache wa jamhuri ya muungano wanasema muamsho ni kikundi cha wahuni basi wazanzibari wote ni wahuni kwa ajili wanadai Zanzibar yao huru
J5RO+AOSTrlgzuQoMZMypzS4WEqf1KqlGZJErKWsd+XZjL+aMyQBADs=
Kuna siri gani kubwa kuhusu huu muungano?? mpaka serikali ikashindwa kuwaambia wanachi kwa muda wa miaka 48??
lock1.gif.pagespeed.ce.wLNFVkY1Uj.gif
 
SOME BODY MOST HAVE BRAIN DAMAGE TO BELIEVE THIS, THE VIDEO IS 100% FAKE VIDEO

USIJARIBU KULETA TENA UCHAFU KAMA HUU HAPA KWA GREAT THINKERS UTAHATARISHA MAISHA YAKO NA KULETA VITA VYA UDINI KWA TAIFA LETU LA TANGANYIKA.....UMESAHAU ILE HISTORIA YA UHURU WETU WA TANGANYIKA KUWA WAISILAMU WA DAR ES SALAAM NDIO WANAHARAKATI WA MWANZO KUPIGANIA UHURU WETU WA TANGANYIKA
A,P20S-omg.gif.pagespeed.ce.GLN-Xz24o1.gif

Ukifumba macho unaweza kutambua, lakini 'ukifumba' akili, kamwe hutatambua! Wamehoji wahusika wote na sheikh pia kahojiwa, bado we unaona ni fake!

Haya, endelea kupambana kumtetea Allah, Mi sina uwezo wa kumpigania Mungu, yeye ndio ananipigania!
 
UAMSHO = MRC
MRC wanasema Pwani si Kenya
UAMSHO wanasema Zanzibar haitaki Muungano.

Wawaachie nchi yao. Nasikia wanakuwa na TAKUKURU yao.
 


thumbnail.aspx

Hali visiwani Zanzibar si shwari. Taarifa tulizopata ni kwamba kumekuwa makabiliano baina ya polisi wa kutuliza ghasia FFU na kikundi cha kihuni kinachojiita Kikundi cha Uamsho. Je hawa wanaojiita Kikundi cha Uamsho wanaotaka muungano uvunjwe wametumwa na nani? Je ni yale yale ya kuigiza yale ya wenzao wa Mombasa Republic Council huko Kenya wanaodai kujitenga ili washirikiane vizuri na mabwana zao wa kiarabu? Leo wazanzibari wanakataa muungano wakidai wajitenge wawe huru. Je na Pemba wakidai kujitenga na Zanzibar huru mambo yatakuwaje? Mbona wenzetu wanashindwa kujifunza toka Comoro? Serikali ya muungano inapaswa kuingilia na kuhakikisha kikundi hiki kinashughulikiwa kwa njia stahiki yaani, kuruhusu wananchi kuujadili muungano. Je ni kwanini serikalil ya Muungano imekuwa kimya kwenye tatizo la muungano au ni ile hali ya serikali husika kushindwa karibu katika kila kitu? Je hiki kikundi kinachoanza kutumia mabavu cha Uamsho kinachofanya ni uamsho au Uangusho?


Tunakuheshimu kaka, lakini wewe ndio muhuni mkubwa zaidi.
 
kwani wwe unaona huu muumngano una faid ayyote?unaweza kunitajia faida zenyewe?kwangu hao wazee wapo sahihi kupinga huu muungano

Kila nyumba kumi zina mbunge mmoja, mwakilishi wa baraza la wawakilishi mmoja na balozi wa Tanzania wa nchi za nje..
 
Tatizo/hoja ni kutotaka Muungano au ni Wakristu?...wamechoma kanisa la K/koo-Znz na kuchoma gari la Askofu nk.
Nilikuwa napita tu
 
mm ni mtanganyika na nimefuatilia sana kuhusu pirika za muamsho na kitu kinachonisumbua ni kuwa mbona wazanzibar karibuni wote 90% wako pamoja bega kwa bega na Uamsho...kuna viongozi wachache wa jamhuri ya muungano wanasema muamsho ni kikundi cha wahuni basi wazanzibari wote ni wahuni kwa ajili wanadai Zanzibar yao huru
J5RO+AOSTrlgzuQoMZMypzS4WEqf1KqlGZJErKWsd+XZjL+aMyQBADs=
Kuna siri gani kubwa kuhusu huu muungano?? mpaka serikali ikashindwa kuwaambia wanachi kwa muda wa miaka 48??
lock1.gif.pagespeed.ce.wLNFVkY1Uj.gif

We jipachike tu huo utanganyika wako wa mitandaoni lakini siku ikifika, utasema tu kuwa 'weye ntoka wapi'. Haiwezekani nyie muite binadamu wenzenu 'bomba la mavi' then mbakie salama ktk ardhi ya Tanganyika-never! Thumma never!
 
kulingana na mabadiliko ya tabia bahari sidhani kama ni salama mtu mwenye akili timamu kuendelea kuishi zanzibar. Hiki kisiwa kinazama baharini na si ajabu siku moja kikafunikwa na tsunami. Rai yangu kwa waserikali iwahamishe kwa nguvu hawa masalia wa biashara kwenda kwenye ardhi ya mababu zao yaani tanganyika hususani tabora na mtwara! morning people!
 
Kile kikundi cha UAMSHO kinachodai zanzibar huru kikidai hakitaki muungano sasa hivi kinatawanywa na FFU kwa mabomu ya machozi na risasi baada ya risasi kadhaa kupigwa hewani.

Wapo hapa Kisonge wakitaka kuelekea kituo cha polisi cha MKUNAZINI. Fujo hizi ni baada ya viongozi wao leo kukamatwa baada ya swala ya magharibi na leo walikua na mkutano eneo la Lumumba.

Kikundi cha Uamsho tumieni busara, sasa hivi ni high season kwa watalii mtajiletea umaskini wa kutosha. Kumbukeni pia kuchoma makanisa kutaleta chuki kubwa ambayo hata hao viongozi wa uamsho hawatakuwa salama. TUMIENI BUSARA MSICHOME MAKANISA HAKIKA TUNA MARAFIKI WENGI ZANZIBAR AMBAO TUNASHIRIKIANA NA WALA DINI HAIJAWAHI KUTUTENGA.TAFADHALI MDAI HAKI BILA KUGUSA MAMBO YA DINI NI HATARI KWA ZANZIBAR.
 
Hii ni JF ndugu na hapa watu wanatumia ID fake, usije kugeuziwa kibao wakati wa faragha. It seems like your ass hole is horny



Hapa tu ndo nnapochoka na JF, kwenye matusi kama haya.. Nadhani halijachukuliwa kwa uzito sababu ya kuandikwa kiingereza.. Ina maana na mods hawajui maana yake.. Siamini!! Ngoja nitafsiri kwa mafungu.. Noh! Nafsi inakataa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom