Nelsweeter
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 141
- 71
kwani wwe unaona huu muumngano una faid ayyote?unaweza kunitajia faida zenyewe?kwangu hao wazee wapo sahihi kupinga huu muunganoPolice wamewalea vya kutosha au mashehe, muda mrefu wamekuwa wakihubiri upuuzi, police wamekaa kimya tu. Mahubiri yao yote ni kutukana watanganyika, eti "Tanganyika bomba la mavi". Kwa muda wote huo wamekuwa wanachezea sharubu za Simba, sasa kinachowafaa ni kichapo tu ili waende kuwasimulia wake zao, shenzi type. Asiye taka muungano arudi Ngazija na Oman.
Police wamewalea vya kutosha au mashehe, muda mrefu wamekuwa wakihubiri upuuzi, police wamekaa kimya tu. Mahubiri yao yote ni kutukana watanganyika, eti "Tanganyika bomba la mavi". Kwa muda wote huo wamekuwa wanachezea sharubu za Simba, sasa kinachowafaa ni kichapo tu ili waende kuwasimulia wake zao, shenzi type. Asiye taka muungano arudi Ngazija na Oman.
Hadi muda huu, bado mabomu yanaendelea kupigwa katika mitaa ya Zanzibar. Hali bado haijatulia. People's Power.
na sisi huku Tanganyika utasema ni koloni la nani? Magamba au CHRISTIAN CARTHOLIC MISSION= CHAMA CHA MAJAMBAZIZanzibar ni koloni la Tanganyika!
kinakuwasha nini? ukihitaji msaada sipo mbali na ww au umenisahau kwa sababu ya hiyo nicknamePolice wamewalea vya kutosha au mashehe, muda mrefu wamekuwa wakihubiri upuuzi, police wamekaa kimya tu. Mahubiri yao yote ni kutukana watanganyika, eti "Tanganyika bomba la mavi". Kwa muda wote huo wamekuwa wanachezea sharubu za Simba, sasa kinachowafaa ni kichapo tu ili waende kuwasimulia wake zao, shenzi type. Asiye taka muungano arudi Ngazija na Oman.
Duh!! Wewe kweli umejua kuwatukana Watanganyika. Yaani ''TANGANYIKA BOMBA LA MAVI'' Dah!!!
Wazinzabari wana haki ya kudai aina kile wanachoona ni haki yao nashindwa kuelewa busara ya viongozi wa juu iko wapi?
Lakini muhumi ningeshukuru kupata maoni toka kwa Mzenji73 na abdulahsaf kuhusu wale wabunge toka Zanzibar waliomtukana Mh Lissu bungeni wakati wa mjadala wa bunge la bajeti mwaka jana. Kimsingi alichosema Lissu ndicho watu wa Zanzibar wanadai sasa hivi kwamba wananchi toka pande mbili waachwe waamue kama wanautaka muungano au la. Lakini baadhi ya wabunge toka Zanzibar waliamua kumtukana Lissu. Sasa napata shida kujua nani aliwatuma, na je mawazo yao yanawakilisha hisia/maoni ya wanzanzibari? Na kama jibu ni HAPANA, kwa nini basi hatukusikia watu wa Zanzibar wakikanusha kile wabunge hao walikuwa wanatetea?
Angalia video zilizoko You Tube zinazoonyesha mihadhara ya hao wanajiita uamsho. Hayo matusi ni ya hao wanajiita wazanzibar halisi wakiwatukana watanganyika. Hakika kwa matusi hayo hiyo Zanzibar huru mtaisikia hewani tu. Mnajua wazi kuwa huu muungano ulileletwa na mataifa ya magharibi ila kwa chuki mliyonayo kwa watanganyika mnatukana matusi kama watoto wadogo. Subirini Farujah nyingine inatua Zanzibar soon. Wote mnaopinga muungano ni njaa inawasumbua tu, as if baada ya muungano kufa ndio mtaishi peponi thubutu. You are loosers!.
kinakuwasha nini? ukihitaji msaada sipo mbali na ww au umenisahau kwa sababu ya hiyo nickname
Kwatarifa yako Jumuiya ya Mashehe Uamsho Zanzibar imepata baraka zote kutoka kwa viongozi wao wa Smz, Zanzibar itagombolewa na wazanzibar wenyewe sio vyama vya siasa.
Regardless lakini mpaka watu watakapo hacha hubiri na kuongopea watu kuhusu athari za muungano ambazo si za kweli na kutumia chuki tu dhidi ya watu wengine lazima sheria ichukue mkondo wake.
Wewe unaona wakombozi wengine tunaona ni demagogues tu ambao wanatumia hisia na imani (especially religious one) inayotawala ZNZ kutengeneza chuki, muungano hausiani na chuki dhidi ya wabara wala dini nyingine if anything ni economical development and the impedement associated with it.
Lakini dini ibakie dini tu, na mashee (tena uchwara) wanaohubiri chuki wakileta midomo ni bakora tu na kichapo nothing else because that has nothing to do with political cause or the independence of ZNZ and its development.
Safi sana.
Hapa nilipo natazama hizi video
SABABU YA KUUKATAA UMOJA HUU ~ UAMSHO KINYASINI - YouTube
Mbona sijaona hayo maneno.