Tusihukumu dini fulani kuwa imehusika katika hili ni vema tukasubiri vyombo vya usalama vitutafutie ukweli. Nahisi something is behind this and i think is not religious issue may be there is another business. Nawasilisha
Ni kweli Njilembera serikali ndio chanzo cha yote na najua ni kwa sababu hao wanaotenda hayo ni wa upande wa dini ya viongozi.Kuna mikanda imekuwa mitaani muda mrefu ikiwahimiza waislamu walipize kisasi kwa kila Sheikh aliyeuawa! Kwa kila Sheikh mapadri watano! Nimeambiwa pia kuna vijitabu/vipeperushi vinavyoekeleza mtiririko wa mawazo ya namna hii. Naamini kama serikali yetu ni makini basi itakuwa inajua yote haya. Lakini kama kawaida tumekuwa waoga kuwakemea watu wa namna hii, yaani Serikali yetu haiwezi kukemea waislamu wenye kufanya vitisho na hata kuvamia watu (mifano ni mingi) na Viongozi wa dini ya Kiislamu hawawezi kuwakemea wafuasi wao wenye tabia kama hizi;yamkini kumekuwepo na imani sasa kwamba yote yanayofanywa na hawa labda niwaite magaidi yanafanywa kwa baraka za serikali, uongozi wa dini ya kiislamu na kwa ajili hio dini ya kiislamu.
Ni ujuha kumtaka mtu aliyeumizwa kwa kuvamiwa kuwa amvumilie mvamizi! Tusipokemea taifa linaangamia.
Pd Evaristi Mushi, juzi juzi tu alikuwa anamwombeleza rafiki yake Mzee wa huko Marekani, leo tutamwombeleza, naam hatuna budi, lakini maombolezo yetu ni ya hasira kwa serikali, serikali lazima ikemee- ikemee tu wala hatujawambia wachukue mapanga!
Ni vita ya shetani dhidi ya watu wa Mungu,waumini wa kweli wa Mungu hawapigani kwa bunduki,ni wakati wa wakristo kuondoka huko zanzibar na kuwaachia kipande chao cha ardhi,na wazanzibari wa huku bara nao wafungashe virago watokomee kwao,elimu ni muhimu sana.
Kweli hata mi naona wametuamsha sasa wanadhani tutakuwa mafala hadi lini?Tuamke,let us revenge.JK anawachekea hawa!
Ee Mungu tumekosa nini watanzania? Rais ndo huyu, Bungeni maspika wachovu watupu, mahakamani majaji wanateuliwa vihiyo. -kila mhimili umeguswa na uchakachuaji. Duh! 2015 mbali!Kikwete anatimiza malengo yake,Nchi imekushinda ONDOKA;ONDOKA;ONDOKA HUWEZI.
watanganyika musijaribu kupoteza malengo ya wazanzibar juu ya katiba mpya ya kudai nchi yao kwa kisingizio vya wakristu wanao pigwa risasi
kwa karibuni watu waliopigwa risasi ni wengi sana zanzibar bahamadi mfanya biashara maarufu alipigwa risasi, suleiman naye alipigwa risasi
kuna mgeni kutoka nchi za asia alipigwa risasi baada ya siku tatu tangu kutokea tukio la father ambrose kule mazizini
wakati wa ramadhani watu wawili walipigwa risasi na baadae kupigwa father ambrose
katiwa acid shekhe fathil sauraga na katekwa shekhe faridi
sasa haya matukio ni idadi kubwa ya waliofanyiwa ni waisilamu je tuseme wameyafanya wakristu
hapa ni kutafutwa nani anamiliki silaha na nani anafanya uhalifu huu ikiwa tukisema kwa kufurahisha nafsi zetu basi itakuwa tukitatuwa matatizo mazito ya jamii kwa wepesi kama serekali ya kimagamba
What a sad day; Mungu atusaidie. Na bado atasimama JK na kutoa hotuba yake ya "jamani udini haufai, haijawahi kutokea katika historia yetu".. Maskini Kikwete..
Unadhani jeshi la polisi watasema nini zaidi ya kusema kauawa na majambazi?Sasa tunapoelekea kama taifa ni hatari, tusiwalaumu ndugu zetu waislam kabla hatujajua ni nan kafanya, ngoja tusubiri taarifa ya jeshi la polis ndo tufanye maamuzi kwani sasa inaelekea zanzibar si mahala salama kwa viongozi wa madhehebu ya kikristo,
Hapa aliyeanzisha udini ni mwinyi na kikwete akaendeleza cha msingi kila mtu asimame kidete kuitetea imani yake vita hii itarudi YESU atakaporudi kulinyakua kanisa na kumaliza vita ya Israel na palestina
kwa hiyo kwa imani ya kiislam huyo aliyemuua padri ameshapata thawabu?
Acha ujinga wako,we hna tofauti na magamba,cdm haina mafungamano na dini yeyote!Hatuwezi kurudia kosa, hii nchi itatawaliwa na PADRI DR MKUU WA UKWELI ZAIDI SLAA chini ya CHADEMA
Waislam mna roho za kikatili sana hata haifai kuwa duniani!
Shame on you!
tukana hadi uchoke ila mwisho wa yote padri kashaded, wanavyouawa masheikh kenya hamsikii mnasikia ya padri tu