IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,028
98% ya wapemba walioko Zanzibar hawautaki Muungano hata kidogo wanaamini wananyonywa.
Muungano wanautaka watu wa unguja ambao wao wanandugu wengi huku bara.
Cha kushangaza Zanzibar vitu vyao muhimu wanategemea bara,kamati ya 80+ ya askari wanatoka bara.
100% nishati ya umeme wanategenea bara..
Naamini wakijitoa nchi yao itakufa kibudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muungano wanautaka watu wa unguja ambao wao wanandugu wengi huku bara.
Cha kushangaza Zanzibar vitu vyao muhimu wanategemea bara,kamati ya 80+ ya askari wanatoka bara.
100% nishati ya umeme wanategenea bara..
Naamini wakijitoa nchi yao itakufa kibudu.
Sent using Jamii Forums mobile app