YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,902
na uvunjike tu hakuna namna sasa, mana wanaonewa sana wananchi kule.
Naona CHADEMA tanzania bara toka Lowasa ashindwe mko frustrated sana.Ndio mmekuwa vinara wa kuanzisha humu maada nyingi za Zanzibar na kuzichangia wenyewe.Mnatumia Zanzibar KU-STEAM OUT FRUSTRATION zenu za Lowasa kubwagwa.Poleni