Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,470
Nyanjomigire,
Mwaka huu tutasikia na kuona mengi tu.
Mwaka huu tutasikia na kuona mengi tu.
Ni kweli kabisa mkuuMwaka huu tutasikia na kuona mengi tu.
Alafu wakifungiwa wanaanza kulia liaMi sina ugomvi na raia kujichgulia chama akipendacho
Ila leo nilishangaa kusikia watangazaji wa redio moja hapa jijini wakifanya mzaha wakati wa kutangaza habari hii. Mmoja wao alicheka na kusema mbunge huyu ametoka chama cha madevu. Wenzake hawakumkanya. Vyombo vya habari lazima vidhibitiwe ili wasifanye mzaha wawapo kazini bali watumie maneno ya staha na heshima. Je mamlaka husika itachukua hatua gani?
Naona CUF ndio imemalizika rasmi siyo upinzani.Upinzani umemalizika rasmi. Pemba ilikuwa tegemeo la mwisho!
Jamaa amejitambua, naendelea kusisitiza
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P
Kuona mbali pemba? Pemba hii hii labda shamaliwa au sanga mwalugesha!Jamaa amejitambua, naendelea kusisitiza
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P
Jamaa amejitambua, naendelea kusisitiza
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P
mr.London,
Kuwapata wananchi wanao simama imala na kujitambua ni wachache wengine ni bendela wata upepo tu. But yetu macho na maskio tu.
mr.London,
Samahani kidogo, lakini napenda kukuelimisha kuwa unaposema Zanzibar unamaanisha visiwa vya Unguja na Pemba, kwa hiyo unaposema Pemba na Zanzibar huwa hufahamiki na ni unakosea sana. Ni hilo tu.
Ndio mkuu. Hili ndio jimbo pia ametoka Marehemu Daktari Omar Ali Juma bin Ismail huyu aliekuwa Makamo wa Rais. Pia Wana undugu wa karibu sana na Mhe Hamad Rashid Mohamed.Hili jimbo la Wawi sijui linashida gani!!! Huku si ndio alitoka Hamad Rashid Mohamed?