Zanzibar Ligi yasimama kupisha mfungo wa Ramadhan

5523

JF-Expert Member
Nov 13, 2014
1,698
1,592
Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi Kuu Zanzibar (@zffzanzibar), Hashim Salum ametangaza kuwa Ligi Kuu ya Zanzibar itasimama kwa muda wa mwezi mmoja kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kuanzia ulioanza leo.
Ligi hiyo inatarajia kurejea Mei 6, 2023.

Chanzo: East Africa TV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom