Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,208
- 20,954
Mchapaji!Ha ha ha!ππ
Ungemwambia mchapaji "Asa we mbona wantia mikwaju wakati mi nabusha!!"
Usicheke mkuu!!Hahahaha nimecheka kifala
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
Pole jombaaUsicheke mkuu!!
hivi vikosi vyetu vya ulinzi na usalama ni bure kabisa, sijui huwa wanatumia vigezo gan kuwaajir hawa watu, sasa mm najiuliza wangekuja wakanifahamisha vizur kwamba natakiwa kuondoka kwenda nyumbani mm ningewabishia? Si ningeondoka zangu kwa amani tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutudanganya inamaana hilo eneo ulikuwa peke yako au kulikuwa na raia wengine,na je Kama hakukuwa na watu wengine wewe hukushangaa kuwa kwanini siku hiyo uko peke yako hilo eneo.Usicheke mkuu!!
hivi vikosi vyetu vya ulinzi na usalama ni bure kabisa, sijui huwa wanatumia vigezo gan kuwaajir hawa watu, sasa mm najiuliza wangekuja wakanifahamisha vizur kwamba natakiwa kuondoka kwenda nyumbani mm ningewabishia? Si ningeondoka zangu kwa amani tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha jinga weweHahahaha nimecheka kifala
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
ππ
Ungemwambia mchapaji "Asa we mbona wantia mikwaju wakati mi nabusha!!"