Kama wanataka kuvunja muungano acha wavunje, nimezaliwa kwenye nchi inaitwa Tanzania hivyo basi mimi kwa umri wangu wa ujana najua Taifa langu ni TANZANIA, wakiondoka si tutabaki na Taifa letu Tanzania.Ila kama muasisi wa Taifa hili alivyopata kusema wakisha jitenga wataanza kusulubiwa na kanuni ya UBAGUZI, navojua mimi kwa uwelewa wangu japo mdogo nina hakika Ukiwachukua watanzania bara kumi [10] ukawauliza swala la kuvunja muungano na hakika watanzania bara nane [8] watakwambia awataki muungano uvunjwe japo awaoni faida yake wanasukumwa zaidi na jadi ya kitanzania ya kuthamini mgeni yoyote yule na hata kufikia hatua ya kuwa mwanafamilia. Swali hilo hilo ukilipeleka Tanzania visiwani na hakika kati ya watu kumi [10] watu nane [8] watakwambia wanataka uvunjwe.
Dhambi ile mwalimu aliyosema tuwaache waijalibu TUSILAZIMISHE MUUNGANO kila jambo lina sababu, Muungano wetu na wao uwenda ulikua na sababu na sasa kwa kua wao ni wana na waja wasiotaka mahusiano hayo tuwaache yetu macho kuwaona wao na mbio zao zitaishia wapi.
Na hakika wao wanaona kama wabara wanawanyonya sana wao, kwa lipi? na zile tuuma za mahusiano na ndugu zao uko ughaibuni zama hizi za technology jamani wabara msiogope zimekwisha angalia falme za kiarabu zilivyo matatani ni mjomba gani huyo atakuja kuwapa hiyo support wakati kwake kunaungua moto pindi wakianza kuchomana moto kumtafuta yupi mzanzibar pemba na yupi mzanzibar unguja.
Tukioana wametafunana vya kutosha baada ya kuwa wameshajitoa kwenye muungano basi mfano mzuri tunao NJUANI. Moja ya vitu vizuri Mh JK alipata kufanya siku za awali za utawala wake kabla ya haya yanayoendlea sasa. Tutawaomba jamaa wa AU pls awa ni jamaa zetu tunawajua tunawaomba kuwaepusha na suluhu hii. Nafikilia mpaka hapo hakuna Taifa lolote Dunia litakata pindi Wantanzania watakapoamua kuomba KUINTERVINE, hata kama ni miaka kumi mpaka ishirini [10-20] hapo ndipo Wazanzibar wa kweli kwa moyo wa watataka muungano wa dhati na hiari kitu ambacho Karume [Brave Man] alikiona mapema ndio maana alimwomba Mwalimu [Intellectual] kuungana tukapata taifa ambalo mimi niyezaliwa chini ya mika sabini [1970s] najivunia.
Give them chance to try, try and error nayo ni kanuni, let them. Tusiwalazimishe jamani dunia inabadilika leo hii ya Tunisa, Libya nani aliyategemea.
Watanzania sie watuache na umoja wetu pwani na bara kama kawa,Ila kama wakijitoa rasmi kuvunja muungano mchakato mzima uanze wale wanzazibar wote walioko bara waamue kuchagua moja kati ya mawili kuludi ambako sasa wao wataita nchini kwao yani Zanzibar ama wabaki Tanzania na kujiandikisha rasmi kama watanzania wasio wazanzibar.
Kwa wale wasukuma, waha, wangoni, wanyamwezi, wanyakyusa na wanyasa walioko zanzibar wakipenda ruksa waludi nyumbani Tanzania tuna ardhi kubwa sana, kuna watanzania waludi wakapewa ardhi huko Tanga leo hii wanaishi na ni raia wa Tanzania japo wamezaliwa nchi somalia, Kuna wakimbizi ngara huko wamepewa ardhi na uraia halali wa Kitanzania sembuse na ndugu wa damu.
Give them a Chance, what goes around comes around, ifike time those who think big waanze kuwa na PLAN zenye VISION ya muda Mrefu kwa kua katika hili Watanzania Bara atutakua Guilt Concious, of what happen na hatutasutwa na dhamila na nafsi zetu na kutokea hapo ndio tutapata udgu wa kweli wa muungano wa dhati na wazi.
KALUME alitangulia kuona japo wao awaamini, waacheni wachezee kiberiti cha gas kwenye tanki la gesi, wanaamini kuwa wao ni wamoja [Waswahili wa Wapemba ujuana kwa vilemba].