KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,724
- 12,084
Kama ni kweli police wanayo kazi. kwa vyovyote wakristu hawana hilka hiyo ya jino kwa jino ila kama ndivyo basi ni mara ya kwanza na wanafaa waadhibiwe mbaya kabisa kukomesha tabia hiyo. akupigae shavu la kulia mgeuzie na la kushoto
Hiyo kauli haipo siku izi, vinginevyo itumike hata kwenye mapenzi.