Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Najiuliza hili swali mwenye jibu atanisaidia.
Madeni yanayojopwa nje ya nchi yanakopwa kwa mgongo wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na ushahidi mojawapo hata chenji ya rushwa ya rada wazenji wanaitaka kwa kuwa ni ya muungano.
Sasa ikitokea wakajitenga yaha madeni yaliyokopwa kwa miaka saba ya Jk yatalipwa kwa ushirikiano huo huo na Zanzibar na Tanganyika??
Madeni yanayojopwa nje ya nchi yanakopwa kwa mgongo wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na ushahidi mojawapo hata chenji ya rushwa ya rada wazenji wanaitaka kwa kuwa ni ya muungano.
Sasa ikitokea wakajitenga yaha madeni yaliyokopwa kwa miaka saba ya Jk yatalipwa kwa ushirikiano huo huo na Zanzibar na Tanganyika??