Zanzibar: Fitina Adui wa Umoja

Zanzibar: Fitina Adui wa Umoja

Kumbe ndio ukajipa kura yako tu hakuna mtu aliyekusikiliza , hivi umeweka link kama vile hujajibiwa ??

Nilikuuliza hiyo camera iliyopiga hizo picha zako ilivumbuliwa lini ???
Hivi ukijua muda iliyo vumbuliwa itakusaidia nini??
 
Pana swali la msingi hapo "Je ni yupi baina ya viongozi wa Zanzibar ambaye alitokana na kizazi cha watumwa?" Andiko jema sana hili ni uthibitisho wa tafiti iliyofanywa Makelele kuhusu ukweli wa mauaji ya mashahidi wa Uganda wakati wa Kabaka Mwanga iliyofafanuliwa na Bw. Mulindwa Muwonge wa Uganda alipozungumzia historia ya ufalme wa Baganda.
Aione ndugu yangu Mwana Kawe PASKALI
 
Nimesema andishi linatenguliwa kwa andishi jingine.
Kwanini mpaka leo, hakuna aliyeandika kupinga andishi hili hapa?!.

http://www.artsrn.ualberta.ca/amcdouga/Hist494_2014/readings/report slavery zanzibar 1895.pdf

P
Usisahau David Livingstione aliandika alimuona Tip tipu akiwapiga risasi watu mia sita kwa siku moja!!! Imagine bunduki ya kushindilia gobore sio machine gun na huo msafara wa watu mia sita wapumbavu wote!!! Tena haitoshi akaendelea na safari na msafara huohuo!!! Ikumbukwe na yeye alikuwa na bunduki yake na wapagazi wake!!! Haitoshi akila na kunywa na Tip Tippu huyohuyo cha ajabu maandiko ya kukanusha uongo wa Livingstone yapo lakini kwa makusudi hayawekwi wazi huku kwetu. Kweli wazungu walijua kutudhalilisha. Huko duniani wanajua nani alihitaji watumwa na mpaka leo wanawatumikisha watukuu wa watumwa wale wa mwili.
Tutaendelea kushikiwa akili...
 
Naunga mkono hoja ya Prof. Ibrahim Noor, kama kuna upotoshaji wowote wa historia ya Utumwa Zanzibar na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, uliowekwa kwenye maandishi, then ukanushwe kwa research na maandishi.

Kuhusu utumwa Zanzibar, mimi nilisoma andiko hili
http://www.artsrn.ualberta.ca/amcdouga/Hist494_2014/readings/report slavery zanzibar 1895.pdf

Nikapandisha uzi huu.
Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama

Mpaka hapa ninapoandika, hakuna Mzanzibari, Mzanzibara, Mpemba, Mwarabu au mtu yoyote aliyekanusha andiko hilo.

Research inapanguliwa kwa research.
P
Tatizo letu Mkuu ni kujiwekea ukomo wa kusoma vitabu na ufuatiliaji. Ukienda UK na Oman katika "makumbusho" zao kila kitu kiko wazi ni maamuzi ya mlaji kula tango analoamini linamfaa. Limeulizwa swali nalirejea ni yupi kati ya walioshiriki Mapinduzi matukufu alitokana na kizazi cha watumwa?
 
Wewe uliyepigwa buti na roho mtakatifu wako umevaa kitu gani?
Raizoni?
ww kwa upuuzi puuzi wako hadi jukwaa letu la pendwa limedumaa!
Na hiyo imekufurahisha sannaaa...
 
Back
Top Bottom