Zantel 3days unlimited bundle...!!??

Zantel 3days unlimited bundle...!!??

sijui nini

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
2,553
Reaction score
1,292
Nimeiona kwenye web (Find your Rhythm) yao hii kitu leo maana ni mda mrefu sana net ya zantel niliikacha..sasa nnachojiuliza waungwana...wameweka 20,000/= kwa siku tatu unlimited....naomba kujuzwa kwa wale wanaotumia whats the advantage over 10,000/= for 7days ya voda ambayo mi ndo huwa naitumia mara kwa mara...?? ni kweli ina speed kali kiac cha kuweka bei hiyo au....!!??
 
Mkuu zantel huwa inaenda speed mpaka 2 mb/sec kwangu yaani mtandao ukiwa vibaya ndio inacheza na 600kb/s1mb/s,yaani speed ya zantel haina mpinzani.
 
Mkuu zantel huwa inaenda speed mpaka 2 mb/sec kwangu yaani mtandao ukiwa vibaya ndio inacheza na 600kb/s1mb/s,yaani speed ya zantel haina mpinzani.
so you mean that 20,000/= is worth it??!!
 
If speed is what you need,then such amount is worth it,but i'm not sure if zantel has raised the cost for unlimited bundle,the last time i used it,it was 10,000.
 
Zantel ninayotumia na ninayoifahamu mimi nimejaza mpaka jana unlimited siku tatu ni elfu 10 na sio 20 unless kama imepanda leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom