jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Wameanza kuleta vyumaa
Naona wengi wapo njiani
Hii TV/radio itakua moto Sana'a maana naona kuna mikono ya mabilionea hapo kina SUHAIL MUZAMIL,MZUNGU WA HARMONIZE,KINA KINJE,MAKONDA,BAADHI YA MAWAZIRI N MADONI KIBAO
SIFA %(Percent) yako ya uwekezaji tu
Chuma kipi hapo zamaradi au?
Huyu zamaradi ana uchumangani katika utangazaji?
Wakimpata LyliOmmy watakuw wamelamba Dume ase
Lil ommy?? Hivi tunaangalia vigezo gani mpaka tumuite mtu mtangazaji mzuri au zile swagga za kurembua kama mchicha mwiba
Na SkyWalker(fredrick Bundala)
Yes maaamen hawa ndo ma-presenter sasa na hakuna mtu atakaa am-mention huyu jamaa ndo bonge la Dude mzee
Kuna dee Andy na king smash pia
De-andy ana nini cha ziada au zile kelele zake