Kwani kule BBC wanatakiwa mabonge na wasio jiona???au una bifu naye mkuu?Yan huyo kimbaombao na
Anavyojiona hata mlango wa BBC
Hawez kuuona
Vipi wewe upo mbinguni nini sasa hivi?Kuwa wa kwanza kwenye mambo ya kidunia sio ishu kubwa sana ... mana bado kuna maisha baada ya dunia ...Mkumbushe afanye mambo yampendezayo mungu ili awe wa kwanza kwenda mbinguni kama alivyo kuwa binti wa kwanza kwenda wasafi
naam kabisa ..yaani wahakikishe wanasimama haswaa wasikubali kushindwa ..ijapokuwa jina lao linatumika kwaajilibya manufaa ya watu wengine lakini biashara itakapo yumba watu watakao athirika zaidi niwao maana jina lao litakiwa limechafuka kibiasharaWamempiga Ruge panapouma.
Ila na hii gear waliyoingia nayo wakifail halafu clouds ikaendelea kama kawaida wataaibika sana na itakuwa anguko la mziki wa wasafi,the have to make sure hawachemki
Na wengi wamechemka, mwanzo wanakuwa moto ila wanaishia kupoa tu huku Clouds ikiendelea.Wamempiga Ruge panapouma.
Ila na hii gear waliyoingia nayo wakifail halafu clouds ikaendelea kama kawaida wataaibika sana na itakuwa anguko la mziki wa wasafi,the have to make sure hawachemki
Duh, bro umemaind kweli!So What? Hivi angeenda BBC ingekuwaje? Tuacheni Umbwigira / Ushamba na ndiyo ' Sumu ' kubwa inayotutesa na kutumaliza Watanzania.
Pole kwa kuwa na roho ya kwanini....watu kabila yako upatwa na uchungu wa kujifungua wakati hawana mimbaSo What? Hivi angeenda BBC ingekuwaje? Tuacheni Umbwigira / Ushamba na ndiyo ' Sumu ' kubwa inayotutesa na kutumaliza Watanzania.
Hawezi kumsahau zamaradi, bosi kamwaga chozi na kutaka kujiua. Huyo nandi anapooza shida binafsi tSasa hivi Ruhr yupo na Nandi.
Zile ni drama tu.Hawezi kumsahau zamaradi, bosi kamwaga chozi na kutaka kujiua. Huyo nandi anapooza shida binafsi t
Kwa kutumia kipimo ganiNaliona anguko la diamond
Yupo wapi saivi uyo jamaa.Na mafuvu dj
Ww unaporomoka liniNa diamond ndio anaelekea kuporomoka,dharau anazomfanyia ruge ipo siku atakumbuka alipotolewa
Huwa hazisomekihahaha heri yako fupi zake zinakuwaga ndeeefu halafu na alama hizi / : nyingi kweli
Sorry mkuu huyo lilyomy yuko wapi na anatangazia station gani kwa sasa mi nashauri wamnunue na Babie Kabae kwenye makala yuko vizuriHuyu wamnunue kwa gharama yeyote
Akili hii mbona kubwa sana anaweza kuwa nayo kweli hii ya kuwaza watoto ilikuwa kwa wazazi wa zamani kwa sasa ni kujiwaza binafsiZamaradi asijivune leo watoto bado wadogo wakikua atajuta kuwazaa. Watamuuliza kwa nini ulimnyanyasa baba yetu. Time will tell..
Huku kukurupuka bila kuwaza kuna madhara yake mbele ya safari....
Na waliodum hawakuwa na "presenter search"hope watakuwa na waendeshaji wazuri zaidi na wenye weledi ikibidi hata kutoka ughaibuni watakaoijua hii biashara au wamnunue Tidoredio n tv sio tatzo kufngua.. ishu n ku dumu kweny ushindan w ubora w vipndi tu.