Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
zamani ukioa mwanaamke usipomkuta na bikra unashangaa sasa hivi ukiomuoa mwanamke ukimkuta na bikra unashangaa,
nilikuwa sijui hii post niiweke jukwaa lipi ila kwa sababu nimeanza na mapenzi nahisi sio mbaya ikiwa jukwaa hili tiririka mengine unayoyajua kati ya zamani na sasa....
nilikuwa sijui hii post niiweke jukwaa lipi ila kwa sababu nimeanza na mapenzi nahisi sio mbaya ikiwa jukwaa hili tiririka mengine unayoyajua kati ya zamani na sasa....