Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,037
- Thread starter
- #101
Hawa watu hawajitambui Mbaya zaidi wamekosa dira hawaelewi wanapoelekea wakuwasaidia ni sisi wanaume tu maana ni vipofu waliokataa msaada.We acha tu nilishawahi kukutana na mmoja kavaa shati tu imeishia kwenye mapaja chini sijaona alichovaa labda Kama alikua na chupi nayo Sina uhakika