Zamani mavazi yalitambulisha jinsia (Wanawake haswa)

Walioanzisha feminism na misemo ya kijinga kama “What a man can do a woman can do so” wameharibu na kuvuruga mpangilio wa majukumu Kwa Kila jinsia.Wamebadili wanawake kuwa wanaume fake.

Hawa wanawake wangetamani Sana wanaume wawasaidie kubeba MIMBA kama ingekuwa ni jambo linalowezakana lakini nashukuru hicho kitu hakipo.

Mwanamke anafanya kazi ya udereva wa mabasi ya mikoa Kwa dai la kutafuta riziki ni NONSENSE huyu mwanamke kwanza hapati muda wa kukaa na watoto wake kuwalea,hajui Wala kuonesha mapenzi Kwa mume wake sababu Kila siku akirudi kutoka kazini amechoka, hajui kupika hajawahi mfulia mume wake nguo muda mwingi watoto hawamwoni mama.

Na mume wake pia anafanya kazi na kumhudumia familia na yeye.Wanawake wamekuwa malimbukeni wanaendeshwa na hisia na mihemko kuwa Dereva wa basi la mkoa au malori wakati mume wako anakuhudumia pamoja na familia yote Ina maana gani sasa? Feminism imegeuza wanawake kuwa wanaume Fake.

Baada ya kufaulu hilo wanapigia debe ushoga Ili wanaume wengi wawe wanawake huwezi ukawa unakojolewa then uwe smart kichwani, key points ni kutengeneza Jamii isiyoweza kujua mema na mabaya Ili kuuteka ulimwengu, chini ya umiliki wao.
 
Baada ya kufaulu hilo wanapigia debe ushoga Ili wanaume wengi wawe wanawake huwezi ukawa unakojolewa then uwe smart kichwani, key points ni kutengeneza Jamii isiyoweza kujua mema na mabaya Ili kuuteka ulimwengu, chini ya umiliki wao.
Akili za wanawake wanazijua wenyewe ni very complicated Kuna mwalimu mwanamke alikuwa anatuambia mtu yeyote akikuuliza swali lolote usijibu direct.

Tukawa tunamjibu Kwa kuzunguka zunguka analalamika Tena kwanini hamuendi kwenye point.Hawajui wanachokitaka.

Wanataka wanaume wote wawe mashogA lakini hapo hapo wanataka wazalishwe sijui hao watoto watatokea wapi.

Dunia ilikuwa SAHIHI Enzi zile katika mifumo dume.
 
Napenda Sana mavazi waliyovaa wanawake wa zamani.Mavazi yanayopiga kelele kuwa "Mimi ni mwanamke".Enzi za mababu zetu unapokutana na Mwanamke huhitaji kumchunguza mara mbili mbili kama ni mwanamke maana anakuwa amevaa gauni au sketi ndefu ya kumtambulisha jinsia.

Sasa hivi Feminism imewasomba wanawake kuelekea kwenye wimbi la Giza Kwa kuwadanganya kuwa wao ni SAWA na wanaume na hawahitaji wanaume katika maisha yao (Wanasema wanaweza kuishi BIla wanaume) na wanavaa suruali Ili kuonesha wao ni SAWA na wanaume huku wakijitetea ni suruali za kike.Kwanini hamna magauni ya kiume???

Wanawake wa sasa wanavaa nguo zinazopiga kelele "Ngono ngono ngono ngono".Upende usipende mwanaume utajikuta umezini kama sio Kwa tukio halisia basi Kwa macho kutokana na wanawake wa sasa wanavyovaa.

Mavazi ya staha yenye sifa nzuri yameonekana kama mavazi mabaya ya kishamba na Yale ya kuonyesha maungo na kuchochea hamu ya ngono ndyo yanaonekana kuwa mavazi mazuri.Ni jinsi gani wanawake wamebadili mambo kuwa kisengerenyuma .

Hawa Hawa wanawake wanaovaa ovyo wanataka wapewe nafasi kuwa viongozi wa nchi niseme tu watafanya mambo ndivyo sivyo.

Mwanamke ACHA kufuata mkumbo Wacha kuvaa kama kahaba.Hautapendeza Kwa kuvaa kama kahaba vaa vizuri Kwa staha.
Mkuu, hizo enzi za zamani unaongelea zamani ipi? Maana kwa kumbukumbu zangu, mababu walikuwa wanaziba sehemu chache sana.
 
Kuna kile kisiwa kipo Bahari ya Pacific wanaume wanavaa misuli mwanzo mwisho hata wakiwa kwenye mishe zao za kila siku town
Sio misuli, wanavaa sketi. Nilifika huko mwaka 2017. Raisi wao siku ya sherehe maalum za kitaifa huvaa sketi then juu anavaa vazi la kijeshi. Kuna wasukuma wengi wanapatikana huko katavi, wanavaa sketi, shanga na hereni
 
Makanisa hayawezi waambia ukweli watakosa sadaka.
Wanawake wengi wanavamiwa na mapepo sababu ya mavazi na mapambo na hayo ma make up vyote hivyo vina uvuvio wa kipepo Ili kuharibu ndoa zikiwemo wigi.
Huwezi kuta mwanamke asiyevaa wigi akaanguka pepo.
Acha uzushi, nenda kwa masutadh uone wanawake tena wamevaa majuba wanavyosumbiliwa na mapepo sababu ya uchwawi mwingi wa kuchezeana. Ulishawahi ona wazungu au wachina wanaanguka mapepo ovyo? Na wanavaa suruali kila siku.
 
Kwa imani yangu nipo kipindi cha ibada kuu ya kitubio na mwaka huu niliapa kuwa nitaenda nukta kwa nukta ili kile nilichokidhamiria nikifanye kwa usahihi,unaweza kukaa mtu kuilaumu mfano Iran kwa sheria zao kali kuhusu mavazi ya wanawake but hutawaelewa hadi pale utakapotaka kuwa serious na imani yako (kama wewe ni muumini).

Unatoka home vizuri huna kwazo lolote,mtu wa kwanza toka umeingia barabara ya mtaani (naishi nje ya mji kidogo) ukikutana nae utakuta kavaa nguo ya kubana maungo,ukifika barabara kuu e.g Morogoro Rd hutajua kama uangalie wapi usiwaone maana kushoto wapo kulia wapo mbele wapo (kawaida mwanaume ukimtizama mwanamke kama kavaa hovyo lazima utamvua nguo mawazoni kwako) nayo hii ni dhambi(kwa imani yangu nimeshazini nae) ,aisee acheni hao waarabu wawabane hivyo hivyo hawa kinamama wale jamaa wanaepusha vingi.

Tanzania huna tena cha kuwaambia utandawazi wameuingia mfano wa mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga mwili mzima upo nje siku hizi wengine wanavaa viji-nylon kabisa wanazurura navyo mitaani i wish yale ya miaka ya 2000s yajirudie ya wahuni kuwatia vidole wavaa hovyo ili heshima ya mavazi irudi.
Umesema kweli ni mtihani kabisa ..ila utakuja kuambiwa imani ipo moyoni
 
Siku hizi mambo yanasikitisha sana...

Zamani walikua na mwendo wa magagulo na under skirt...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom