Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Abdul alikua smart kichwani kwa lipi? Alikua na kipaji cha uongozi nakubali ila sio akili, nimesoma Azania miaka 6Nimesikia walishaachana ..mumewe alikua Abdul Mohammed nilisoma nae pale Azania jamaa alikua smart na kipaji cha uongozi tangu shule.