Zaidi ya ndege 30 za Israel zimeanza kunyesha mabomu ndani ya Yemen

Zaidi ya ndege 30 za Israel zimeanza kunyesha mabomu ndani ya Yemen

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
13,294
Reaction score
42,808
zaidi ya ndege 30 za kivita za Israel zimezingira muda huu ndani ya Yemen huku zikipiga bandari , uwanja wa ndege na vituo vyote vya mawasiliano.

Hali ya tahadhari imetolewa muda huu Kwa raia nchini Yemeni kuhama kwenye maeneo yote yaliyo chini ya wapiganaji wa houthi.
20250505_200514.jpg
 
zaidi ya ndege 30 za kivita za Israel zimezingira muda huu ndani ya Yemen huku zikipiga bandari , uwanja wa ndege na vituo vyote vya mawasiliano.

Hali ya tahadhari imetolewa muda huu Kwa raia nchini Yemeni kuhama kwenye maeneo yote yaliyo chini ya wapiganaji wa houthi.View attachment 3325460
Taarifa haijitoshelezi toa taarifa na chombo aminika.
 
Back
Top Bottom