amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Migodi midogo 15 ya wachimbaji madini wadogo wa madini imeteketea kwa moto katika Eneo la kitalu B Mirerani simanjiro Chanzo kikiwa ni hitilafu ya umeme wakati mafundi walipokuwa wakitengeneza moja ya mita iliyokuwa katika moja ya nguzo zilizokuwepo eneo hilo na inagharimu zaidi ya shilingi Bilioni 4.
Zaidi ya watu 1000 wanakosa makazi baada ya migodi hiyo kuungua Moto.
Chanzo: ITV Breaking News
Zaidi ya watu 1000 wanakosa makazi baada ya migodi hiyo kuungua Moto.
Chanzo: ITV Breaking News